Habari zenu?
Nauza asali ya nyuki wadogo kutoka Moshi Kilimanjaro. Haijachanganywa na kitu chochote. Inatibu maradhi mengi kama mmengenyo wa chakula (digestion) kuondoa mafuta mwilini, kuondoa muwasho wa koo, kifua hasa kwa watoto, mafua, kikohozi, mtoto jicho katika macho na mengine mengi.
Kwa...