Recent content by Fateema

  1. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    90s will always be the 90s aisee.
  2. Fateema

    JamiiForums Tanzania Niliroga sana

    Bongotunacheza
  3. Fateema

    JamiiForums Tanzania Niliroga sana

    LIKUD
  4. Fateema

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wanafunzi wa Udaktari Bingwa Bugando wanaosomea Mifupa walalamikia kufelishwa makusudi, waomba mamlaka kuingilia kati

    Maprofesa wa kiafrika ovyo sana wanapenda mno kuabudiwa.. Niulize swali, hao wanafunzi wa udaktari bingwa wa mifupa wanakuwa tayari na MD hapo amekuja tu ku specialize kwenye mifupa au ndio anakuwa fresh from form six?
  5. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    I agree with you. The 90s were the golden era. Nawasikitikia sana hawa vijana ambao hawakuwepo miaka ya tisini. Wamekosa vitu vingi sana kwenye maisha Yao.
  6. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    Miaka tisini maisha yalikua mazuri sana yani huwaga natamani siku zisimame turudi miaka ya tisini
  7. Fateema

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    😭😭😭😭 Duh masikini baba wa watu. Alishindwa kustahimili. Unajua kila ukiwaza ndugu yako au mtoto wako kafariki kwa kifo cha kimatili namna hiyo nafsi inashindwa kubeba huo ukweli mchungu. Ndio maana LIKUD mpaka Leo mwaka wa 30 bado hajasahau.. Ni ngumu sana kusahau aisee. Kwa hiyo na mke wake na...
  8. Fateema

    JamiiForums Tanzania Story ya binti alietoroka kwao baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 2014. Baada ya kupatikana hiki ndio kisa chake.. Kuna kitu cha kujifunza hapa

    Binti ana roho Ngumu sana huyu. Duh Ina maana hakuwaonea huruma hata wazazi wake?
  9. Fateema

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Ina staajabisha sana. Enzi hizo tukiwa wadogo tulikuwaga tunasikia story kwamba baada ya tukio, wavuvi wali kuwa wakipita eneo la tukio wanaiona MV Bukoba ikiwa inazama. Yani kama mauza uza hivi. Na story nyingine tulikuwa tunasikia wanasema wale divers kutoka South Africa wangeweza kuopoa miili...
  10. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Hapana haikuwa sawa kabisa. Kuna comment ya mdau wa Kwanza kwenye Uzi anasema kuna mmama alikuwa anauza vitu custom alishuhudia tukio lote anasema meli ilipofika eneo la tukio ili stop kwa kama lisaa limoja ( wao walikuwa wanaiona kwa mbali) Ilistop kwa lisaa limoja kama vile imepata hitilafu...
  11. Fateema

    JamiiForums Tanzania MV Bukoba ilipozama nilikuwa mdogo, nilihuzunika sana

    Duh so walijuaje kama huyo gaidi atapanda kwenye meli tarehe hiyo? Au alikuwa amefanya booking?
  12. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Wakati meli in a tobolewa, ilikuwa tayari imesha pinduka juu chini au ilikuwa bado kawaida na kwamba baada ya kutobolewa ndio Ika pinduka juu chini?
Back
Top Bottom