Maprofesa wa kiafrika ovyo sana wanapenda mno kuabudiwa.. Niulize swali, hao wanafunzi wa udaktari bingwa wa mifupa wanakuwa tayari na MD hapo amekuja tu ku specialize kwenye mifupa au ndio anakuwa fresh from form six?
I agree with you. The 90s were the golden era. Nawasikitikia sana hawa vijana ambao hawakuwepo miaka ya tisini. Wamekosa vitu vingi sana kwenye maisha Yao.
😭😭😭😭
Duh masikini baba wa watu. Alishindwa kustahimili. Unajua kila ukiwaza ndugu yako au mtoto wako kafariki kwa kifo cha kimatili namna hiyo nafsi inashindwa kubeba huo ukweli mchungu. Ndio maana LIKUD mpaka Leo mwaka wa 30 bado hajasahau.. Ni ngumu sana kusahau aisee. Kwa hiyo na mke wake na...
Ina staajabisha sana. Enzi hizo tukiwa wadogo tulikuwaga tunasikia story kwamba baada ya tukio, wavuvi wali kuwa wakipita eneo la tukio wanaiona MV Bukoba ikiwa inazama. Yani kama mauza uza hivi. Na story nyingine tulikuwa tunasikia wanasema wale divers kutoka South Africa wangeweza kuopoa miili...
Hapana haikuwa sawa kabisa. Kuna comment ya mdau wa Kwanza kwenye Uzi anasema kuna mmama alikuwa anauza vitu custom alishuhudia tukio lote anasema meli ilipofika eneo la tukio ili stop kwa kama lisaa limoja ( wao walikuwa wanaiona kwa mbali) Ilistop kwa lisaa limoja kama vile imepata hitilafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.