Nimekoma kukaa uswahilini. Vita ilianza nilipo nunua kiwanja karibu na sehemu niliyo panga halafu ni kaanza ujenzi.
Kiwanja chenyewe cha milioni moja na laki nane na malipo nilifanya 4 instalments. Then ni kaanza ujenzi wa kudunduliza. Niliishia kupiga msingi tu biashara ikakata.
Ikafikia...
Maprofesa wa kiafrika ovyo sana wanapenda mno kuabudiwa.. Niulize swali, hao wanafunzi wa udaktari bingwa wa mifupa wanakuwa tayari na MD hapo amekuja tu ku specialize kwenye mifupa au ndio anakuwa fresh from form six?
I agree with you. The 90s were the golden era. Nawasikitikia sana hawa vijana ambao hawakuwepo miaka ya tisini. Wamekosa vitu vingi sana kwenye maisha Yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.