Recent content by Fateema

  1. Fateema

    Ni wapi wanafundisha kutengeneza pipi za kihindi?

    Wala sio hivyo unawaza wewe. Some people are manipulative by nature
  2. Fateema

    Ni wapi wanafundisha kutengeneza pipi za kihindi?

    Pipi za kihindi hazipo mikoani?
  3. Fateema

    Ni wapi wanafundisha kutengeneza pipi za kihindi?

    Enzi hizo baba angu alikuwa analangua kwa muhindi kariakoo. Huyo muhindi alikuwa anazitengeneza kisha anawapa vijana wake kwenda kuuza kwenye mashule mbalimbali jijini Dar Es salaam lakini wakati huo huo akawa anawalanguza wafanya biashara mbalimbali, unaenda kununua kwake kisha unaenda kuuza...
  4. Fateema

    Mama Samia badili Sheria ya Makosa ya Jinai ( Penal Code), iendane na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. Utawin mioyo ya 99,% ya watanzania.

    Hata mtaani hali ni mbaya mno vitoto vya form two vinagombania mabwana na mama zao
  5. Fateema

    Vita vya Nuclear vinakuja toeni watoto wenu EMS muwarudishe Kayumba

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wabongo walivyo vilaza watakuja kukupopoa wakati mwandiko unaonyesha kabisa una tania ingawa kwenye utani wako kuna ukweli ndani yake
  6. Fateema

    What if kama Mossad ndio wanalipua Israel na kuisingizia Iran?

    Everything is possible under the sun
  7. Fateema

    Kitabu " SPIRITUAL ASPECT OF THE SONG HIT EM UP", kimetoka ila it is not for SALE, only for EDUCATIONAL PURPOSES.

    Yule mwamba wa kusema " Tupac alikuwa kapandwa na kiumbe wa kiroho ( spirit) wakati ana yupo studio ana rekodi wimbo " Hit Em Up" , tayari ameachia kitabu chake chenye CHAPTERS 77 na kurasa 220 . The book is not for SALE. It is for Educational Purposes. Nakala arobaini elfu ambazo zimetoka...
Back
Top Bottom