Kumbe unacho pinga ni kipi? Maana kama ni ndoa zinavunjika Sana na zinavunjika kwa uadui mkubwa wa kufikia hata kuoana.. Hadi Bahati Bukuku mwimbaji wa Injili karma wimbo unaitwa " Majeruhi wa Ndoa" akizungumzia ndoa yake na alicho kiimba ndio asilimia kubwa ya ndoa zipo hivyo
Huku kwetu kusini watu wanaona Leo baada ya mwezi wanaachana na wakiachana hawakai mwezi wanaingia kwenye ndoa tena.. Zanzibar na Mafia ndio balaa. Na wote hao wanafunga ndoa za kiislamu.. Watoto kibao siku hizi wanaishi kwa Bibi zao
Nimekoma kukaa uswahilini. Vita ilianza nilipo nunua kiwanja karibu na sehemu niliyo panga halafu ni kaanza ujenzi.
Kiwanja chenyewe cha milioni moja na laki nane na malipo nilifanya 4 instalments. Then ni kaanza ujenzi wa kudunduliza. Niliishia kupiga msingi tu biashara ikakata.
Ikafikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.