Recent content by Fateema

  1. Fateema

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Ni watu wa Kilwa na mmoja mdengereko/mzaramo..eneo ni dar kusini, Mbagala
  2. Fateema

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Imagine mtoto wangu msichana kafaulu form four kapata one kapatwa na uchizi ghafla
  3. Fateema

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Nimejaribu njia zote hizo in vain.. I have to go back home. Watu wa kusini wabaya sana..
  4. Fateema

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Nimekoma kukaa uswahilini. Vita ilianza nilipo nunua kiwanja karibu na sehemu niliyo panga halafu ni kaanza ujenzi. Kiwanja chenyewe cha milioni moja na laki nane na malipo nilifanya 4 instalments. Then ni kaanza ujenzi wa kudunduliza. Niliishia kupiga msingi tu biashara ikakata. Ikafikia...
  5. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Meli si ilipinduka saa moja asubuhi?
  6. Fateema

    JamiiForums Tanzania Niliroga sana

    Bongotunacheza
  7. Fateema

    JamiiForums Tanzania Niliroga sana

    LIKUD
  8. Fateema

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wanafunzi wa Udaktari Bingwa Bugando wanaosomea Mifupa walalamikia kufelishwa makusudi, waomba mamlaka kuingilia kati

    Maprofesa wa kiafrika ovyo sana wanapenda mno kuabudiwa.. Niulize swali, hao wanafunzi wa udaktari bingwa wa mifupa wanakuwa tayari na MD hapo amekuja tu ku specialize kwenye mifupa au ndio anakuwa fresh from form six?
  9. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    I agree with you. The 90s were the golden era. Nawasikitikia sana hawa vijana ambao hawakuwepo miaka ya tisini. Wamekosa vitu vingi sana kwenye maisha Yao.
  10. Fateema

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    Miaka tisini maisha yalikua mazuri sana yani huwaga natamani siku zisimame turudi miaka ya tisini
Back
Top Bottom