Enzi hizo baba angu alikuwa analangua kwa muhindi kariakoo.
Huyo muhindi alikuwa anazitengeneza kisha anawapa vijana wake kwenda kuuza kwenye mashule mbalimbali jijini Dar Es salaam lakini wakati huo huo akawa anawalanguza wafanya biashara mbalimbali, unaenda kununua kwake kisha unaenda kuuza...
Yule mwamba wa kusema " Tupac alikuwa kapandwa na kiumbe wa kiroho ( spirit) wakati ana yupo studio ana rekodi wimbo " Hit Em Up" , tayari ameachia kitabu chake chenye CHAPTERS 77 na kurasa 220 .
The book is not for SALE. It is for Educational Purposes.
Nakala arobaini elfu ambazo zimetoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.