Recent content by Fastercapital

  1. F

    JamiiForums Tanzania TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    Lakini serikali imeanza vizuri kwenye sekta ya madini na biashara za rejareja katika Sheria iliyopitishwa mwaka Jana japo inahitaji kuendelea kukaza zaidi
  2. F

    JamiiForums Tanzania TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    Mchina anazalisha kwao, halafu huku anakuja kufungua showroom anauza magari ama bidhaa za huko Kwa nini?
  3. F

    JamiiForums Tanzania TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    Kuna biashara zinatakiwa ziwe strict Kwa wazawa, retail, uuzaji magari yawe madogo ama makubwa. Export ya bidhaa za mikono NK maana supply chain ya ndani Tanzania iwe preserved Kwa Ajili ya wazawa
  4. F

    JamiiForums Tanzania TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    Ok, Kwa Sasa tutawaita wawekezaji ila at the end watoto wetu watalia sababu these people hawawajali wazawa, wakwepaji wazuri WA Kodi , kama kwao palivyo strict na wanakwepa Kodi je huku?
  5. F

    JamiiForums Tanzania TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    Changamoto ya wachina NI kubwa Sana. Wao wanaenda iringa kukata miti wanaexport kupeleka kwao, kisha huku wanakuja kufungua maduka makubwa kutuuzia finished goods
  6. F

    JamiiForums Tanzania TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    Umeongea ukweli mchungu Sana. Kwa Sasa tusipomuomba Mungu toba atuondolee hii laana. Niulize je malighafi zetu zikitoka hapa Halafu watoke huku akina massawe wakafungue viwanda vya kuprocess huko nchi zinapoenda watakubaliwa? Watadai mitaji haya , vyakula semi processed tunavyopeleka nje kama...
  7. F

    JamiiForums Tanzania The dark side of business

    Sawa dada yangu sikuunganisha doti mamii. Kampikie mumeo
  8. F

    JamiiForums Tanzania Wimbo Mpya wa Nandy wafutwa Youtube na Mr. Tonge Nyama

    jamaa atalipa, million 200 kitu gani
  9. F

    JamiiForums Tanzania Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Mheshimiwa , Mimi naona NI vema wanaume tukaangaliwa pia, kama mtoto. Kafikisha miaka 7 apeleke Kwa Baba yake. Haya mambo yapo na shida sio upande WA wanaume Tu ni kotekote. Kama motto NI below 6 years mwanaume ahudumie Sawa sawa na uwezo wake ila motto kama akifikisha 7 years ,Baba aruhusiwe...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari tanker 10 za mafuta

    Habari Natafuta gari za tanker za mafuta zenye vibali vya transit. Trip ni kwenda Mzuzu,blantyre na lilongwe. Zinahitajika gari 10. Malipo advance 70% ,balance 30% after offloading. Loading point- Tanga port Product: Diesel and petrol 0692595127
  11. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta trucks za kwenda lubumbashi

    Bado natafuta
  12. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta trucks za kwenda lubumbashi

    Kuna mzigo wa kontena za 40ft kwenda lubumbashi . Na return trip ni copper Nahitaji gari 20 Mawasiliano 0692595127
  13. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule za English medium za bei nafuu

    Za primary je
Back
Top Bottom