Utakua wewe ndo una matatzo,unaangazia Takwimu kisa kwenda kutafuta?
Huko unaposema kama wanafanya mazoezi ndo wanaume hupukutika kwa majanga mbalimbali wanayokumbana nayo(risk ni kubwa sana).
HATA WAO HUSEMA USIJE KUFA KABLA YA KUTUACHIA KITU😄
Ya nje au ya ndani?
Ila pia kuna hawa wanajiita AGIZA CHINA.washatapeli sana eatu,washawaletea sana watu maronya hasa wanawake.
Yani ktk Agiza china kwenye 10 labda mmoja,wengine vilio
Msimamo wa chadema mpaka ccm wanawaonea wivu jinsi watu walivyoacha maslahi ya matumbo yao na kufikiria zaidi wananchi.
Hii NRNE imewaeka mioyoni ya waTZ sana
Unafikri wenzio hawana akili majuha?
Unataka tusitishe vita huku wewe ukiendelee kujiimarisha na kujiandaa na vishambulizi vya hapa na pale.
Ndo mana waungwana kama Russia wanawakumbusha tekeleza unachojadili amani na SI uki back fire
Daah Hivi vituko vya west na propaganda zao nyepesi katka Dunia ya technology,Hivi hizo media angeshika Urus ingekuaje?
Yani tangu kuambiwa Russia kaishiwa 2022 mwishoni mpaka leo ni moto TU.
Ubaya wa Trump na Elon ni wakweli sana ndo mana wanapambana vita iishe otherwise ni aibu kwa west na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.