Recent content by Faru Yohana

  1. Faru Yohana

    Anasa hizi kumpa hasira Mh Rais.Huponza na wasiohusika

    Mkuu kwani wananchi wote Tanzania wanajiachia hivi? Njaa ipo na itangazwe tu hakuna namna. Hata ukienda Somalia kuna wanaolia na wengine ni Kama wapo peponi.
  2. Faru Yohana

    Mmiliki wa mabasi ya Zakaria amenidhulumu mali yangu na kutishia kuniua

    Ni Yule tajiri wa mabasi ya Zakaria yanayotoka Mwanza hadi Silari mpakani mwa Kenya, na kada mkubwa wa chama cha mapinduzi (ccm). Wiki tatu zilizopita nilinunua mzigo wa viatu kutoka Kenya na nilikuwa na vibali vyote vinavyoniruhusu kufanya biashara bila Shaka yoyote. Kwa miaka mingi nimekuwa...
Back
Top Bottom