Hongera kwa wazo mkuu, ukitaka Logo, au posters kali kwaajili ya ku promote biashara yako ya mihogo PM yang iko wazi mkuu, ntakufanyia kwa bei nzuri sababu we ni jf member mwenzang!.
Hongera sn mkuu kwa uthubutu, lakin hebu fanya mpango wa kilimo cha umwagiliaji tengeneza miundombinu ya umwagiliaji shambani kwako mana investment unayoifanya kutegemea mvua tu pekee haitoshi.
Na kwa members wengine ambao mnahitaji mashamba ya kukodisha, nakodisha mashamba yangu mwenyewe...
Hii mada ungeipeleka kwenye jukwaa la kilimo. Lakini kwa kujibu swali lako chakula cha kisasa kwa kuku wa kienyeji hakitawasaidia kukua haraka sababu ya genetics materials walizonazo ni tofauti na kuku wa kisasa. Wape chakula chenye mchanganyiko wa kawaida tu. Kama umelenga kufuga kibiashara...
Kwanza mmefikaje fikaje hapo... sababu siamini kama ni ishu imeibuka siku moja tu, lazima kulikua na vimaneno maneno na mienendo flan hv mpaka mke kutoa kauli hiyo. Hebu dadavua kidogo..!
Ni wadudu common sn kweny zao la mahindi, kwa kitaalam wanaitwa Fall Army Worm.
Sasa inategemeana na eneo uliopo dawa gani znapatkana sn huko. Mifano ya dawa inayoweza kukusaidia kweny tatizo hilo (based on brand names)
Dk lufu
Wilcron
Profecron
Duduwill
Wahi usije ukapoteza zao hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.