Haya ni maombi ya ruhusa kwa mahakama ya juu kutoa tafsiri, kutatua utata, kutoa maamuzi au marekebisho baada ya kupitia maamuzi ya mamlaka za serikali.
YES, please refer to section 14(1) and (2) of the Law of Limitation Act (CAP 89 R.E 2002), there must be reasonable or sufficient cause to do the same.
Je mliingia mkataba wowote wa mauziano?
Je shamba hilo lina mipaka inayofahamika? Je mipaka hiyo iliainishwa kwenye mkataba wa mauziano? Serikali ya kijiji (Afisa Mtendaji) iliidhinisha mauziano hayo, vipi kuhusu mashahidi?
Kama maswali yote hapo juu yanajibika ndiyo unaweza kuwashitaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.