Kweli kipenda roho ula nyama mbichi. Hata huyu ni kipenzi cha watu? Ukabila udini ubabe. Muongo n.k Ila ukipenda kitu hata kama ni uchafu lazima utakisifia.
Shida ya wa tanzania ni moja siasa na utendaji wameviweka sehemu moja. Ili ndiyo tatizo chuki ni mwanzo wa kutokutumia busara kuangalia jambo au kuchangia hoja.badilikeni.
Mkurugenzi wa jiji la arusha una habari ya ufisadi unaoendelea hapa Kata ya kati kupitia kitengo kinachojinasibu cha mazingira? Wanagawana fedha za wananchi kama pipi. Unakuta wanaingia kwa wananchi mpaka ndani na kukagua na kumpiga faini ya laki tatu. Akijaribu kuoji anatishiwa kuwa...
Huyu mzee tatizo kubwa ni uchu wa madaraka. Ana ndimi nyingi huyu. Kule kwao kama kweli ni mwarusha anaitwa makaa. Makaa ni kundi linalosifika kwa ubishi.
Nashauri wa bure. Kweli kama ukawa( ukiwa) wanasema kutoka moyoni kuwa spika atoke nje ya wabunge wateule. Basi waanze na kutuonyesha Mfano wa majimbo walioshinda madiwani tuchague meya kutoka nje ya madiwani waliochaguliwa.
Jamani nisaidieni huyu mrema wa register ya mahakama ya appeal ni nani hapa arusha? Anatesa watu sana ebu nisaidieni nani yuko nyuma yake. Kwanza anafanya kazi kwa kupenda. Mbili anairikadi ya kisiasa ndani ya ofisi ya serikali. Nijuzeni kama mnamfahamu.
Tunaposema ukawa ni ukiwa ndiyo watanzania waache ushabiki wa kushabikia saccos ya kikundi cha wapiga dil. Watoto wake wako ulaya. Mbowe wako Canada baba mkwe ameshamsaid kusomesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.