Pole sana kaka yangu, hii dunia ina changamoto nyingi sana, mahusiano na ndoa vimekuwa jehenam kila kona, mauaji ukatili wa kutisha na mafarakano mengi yanatokea kwenye sehemu hii, yani ni kilio kila kona, wale tuwapendao na kuwathamini wamegeuka kuwa chanzo cha kilio kwetu, story yako...