Shukran sana nmeelewa vizur sana kwa upande wa watumishi,nataka kujua pia kwa mwanafunz daràsa la pili ikiwa mtumishi anataka kuhama na mwanafuzi huyo.
Dah pale nilipotumia muda Wang kujib chemistry 2 exam ambao n wa girlfriend ang na kuxhindwa kmaliza maswal kwa upande Wang kitu kilchozua mjadala baada ya kpata grade B kitu ambacho ckuwah Ku fail namna hyo japo ilikuwa f6 terminal exam 2017
Habari jf,napenda kuuliza ni course zipi ngazi ya certificate & diploma anaweza soma mtu mwenye matokeo ya kdato4 2018 kama HISTORY D,LANGUAGE C,KISWAHILI C,BIOLOGY D,MATHEMATICS F,CHEMISTRY F,GEOGRAPHY F,CIVICS D Ahsanteh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.