Recent content by faokipe

  1. faokipe

    JamiiForums Tanzania Picha: Kwanini Simba/ Chui hawashambulii watalii wakiwa kwenye gari?

    Mkuu tofaut kati ya national Park na game reserve ni ipi??msaada
  2. faokipe

    JamiiForums Tanzania Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

    Kwa maana hiyo nani kafungwa sasa au wote wameachiwa?
  3. faokipe

    JamiiForums Tanzania Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

    Nahitaji kununua simu Samsung s9 au Samsung s8 ,kwa wenye uzoefu na hii simu msaada tafadhali!!!changamoto zake na ubora !!najua madukani hazipo nanunua used
  4. faokipe

    JamiiForums Tanzania Hamas wajibu sababu ya kuteka na kuua raia wa kigeni: Inatuma ujumbe taifa haramu la Israel sio salama kuingia

    Kwa hiyo nkuulize swali wayahudi kwao no wapi kwa asili
  5. faokipe

    JamiiForums Tanzania Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

    Hao wanaopita kwa miguu ni waisrael??umejuaje au hiyo baiskeli ni ya Joshua?umejuaje?hapo tukio linapofanyika la mauaji ni ardhi ya Israel??umejuaje
  6. faokipe

    JamiiForums Tanzania Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

    We pimbi nini kwani hao wanaotembea kwa miguu hawawezi kua wapalestine wenzao na hamas, hoja na maswali yako ya kifala
  7. faokipe

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

    Mnajipaga moyo na ujasiri usiokuwepo, sasa huyo uturuki ndio wa kumpiga Israel??kifupi mataifa yote ya kiarabu ni mbw koko kwa muisrael, wanaishiaga kubweka tu
  8. faokipe

    JamiiForums Tanzania Israel inafanya biashara kichaa kubadilishana mateka na magaidi

    Wewe ni wakala wa Hamas??
  9. faokipe

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Fally Ipupa 'Mayday'

    Nimeuweka kwenye headphones asubuh nkiwa nakimbia vilima vya Rock City!!naendaga km nyingi bila kuchoka !!
  10. faokipe

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

    Wewe ni wakala wa HAMAS???
  11. faokipe

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

    Israel ataendelea kukaa hapo gaza hata miezi ili magaidi waliokimbilia ndani ya mahandaki wafe kwa njaa huko chini
  12. faokipe

    JamiiForums Tanzania Wayahudi hawa ndio wale akina Herode walioua Watoto wa kiume Wote kwa ajili ya kummaliza Yesu?

    Sasa kwa akili yako unafikiri gaza itaachiwa ikaliwe na hamas tena!!hapo ndio tayari ishaenda mikononi mwa Israel
  13. faokipe

    JamiiForums Tanzania Hamna taifa litaloweza kuing’oa Israel Mashariki ya Kati maana hapo ndipo nyumbani!

    Sasa ingekua vipi wkt walikua wamechukuliwa utumwani na kutawanywa katika nchi zingine!??swali dogo kwako yesu si alikua myahudi wale watu aliokuja kwa ajili yao hawakua na nchi??hiyo nchi iko wapi??
  14. faokipe

    JamiiForums Tanzania Kumbe Hamas hawawajui Waisrael, unatumia Mateka kutafuta " nafuu" kwa Wayahudi?!

    Hajawahi kua mwepesi anapoamua jambo lake!!labda pale mumgu anapomuacha
Back
Top Bottom