Recent content by Famatz

  1. Famatz

    Mahakama yawafutia dhamana M/kiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko

    Haki watu wanadai haki hata kama mtu kavunja sheria watz twapenda vitonga
  2. Famatz

    Serikali imepata mkopo mwingine wa dola milioni 300 kutoka Benki ya Dunia(WB)

    Kuna watu hata kwa damu huwa hawaelewi!!!! Yan wanataka nchii izidi poromoka kila kinachifanyika wanasema hakiwezekani!!
  3. Famatz

    Mwanangu jifunze haya kuhusu mwanamke

    BOYS INA TUHUSU Huu ndio usia kwa MWANANGU. 1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanangu usimuache huyo! 2. Mwanangu, usimfanye mwanamke wako...
  4. Famatz

    Wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu waangaliwe kwa jicho la tatu

    Wachache wanaelewa kama hujatoka kwenye familia zetu hizi huwezi jua
  5. Famatz

    Wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu waangaliwe kwa jicho la tatu

    Naingia ulingoni Mimi bunafsi kama mdau mkubwa wa elimu ya Tanzania najitosa kwenye jukwaa hili na kupaza sauti nikisema vijana wanaomaliza vyuo vikuu waangaliwe kwa jicho la tatu. Nina maana kubwa sana ninapolizungumza hili, vijana wanasoma mpaka chuo kikuu na kumaliza masomo yao wakiwa na...
  6. Famatz

    Ndoto iliyozimwa ghafla

    usijali brother, ntaremebisha
  7. Famatz

    Ndoto iliyozimwa ghafla

    usijali brother, ntaremebisha
  8. Famatz

    Ndoto iliyozimwa ghafla

    NDOTO ILIYOZIMWA GHAFLA Kulikuwa na familia moja maskini sana. Ilikuwa familia ndogo ya baba, mama na binti yao wa pekee . Baba ndiye alikuwa mtu pekee mwenye kipato, hata hivyo kipato chake kilikuwa kidogo sanaa kilichoweza kuwasaidia kujikimu mahitaji muhimu tu japo pia hakikutosha. Baba...
  9. Famatz

    Tanzania: Wanaharakati wa kulinda wanahabari (CPJ) wakamatwa na kuhojiwa, waachiwa!

    Mm siwaelew nyie kila kitu mnatetea kama kavunja sheria asikamatwe kisa nini?? Mna uchungu na hii nchi au tu sisi kazi yetu ni kudiscus vitu hapa hata wa kupiga kura hatutaki ##Tambua
  10. Famatz

    Marehemu ashinda uchaguzi Marekani

    Ingekuwa bongo watu wangepiga kelele sana , lakin kwa vile wameona ni marekani watu no comment
Back
Top Bottom