Kaka kama Utakua na Machine(computer) Tafuta Application inaitwa Format Factory basi Linabaki swala la Lugha tu na skills Za kawaida unakua umemaliza kazi
Kama upo Dar es Salaam Na Haujaweza kufanya Hivyo Naomba unitafute Nikusaidie Me Ni Mobile-Technician Usiwaze Kuhusu Nauli na Gharama...
LAKINI KIUHALISIA HAMKUA NA VIPAJI WALA NINI NI VILE TU MLIKUA WABOVU NA MLIKUA HAMCHEZI SODO NA MLIKUA NA VIMIANDIKO VIZURI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wasukutishe Sana Vitabu Ni Vitano Tu
PHYSICS
CHAND YA PHY
VITINI VYA MGOTE NA ALLY ABDALLAH
:solving ya Mapast Papers Mpaka siku Moja kabla ya Necta
CHEMIA
TIE YA TZ CHEMIA
Vitini Vya Mjomba Unga na Ngaiza
:Past Papers kila siku on solving
PURE
Past Papers On solving
Vitini vya Kitedy...
Here we go Lady
1.Chukua paper Panga mipango ile ulkua unaiwazia wakati uko primary school like kua na company ya kupeleka watu Jupiter
2.Bundle unalo (hitaji la muhimu though)
Ingia Youtube View zachtech videos or Julius Dein videos Or supercar blonde
3.Ukiona hazinogi still uko Stressed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.