Recent content by fakee hussein

  1. F

    Msaada: Connection ya kuhudumia wagonjwa wa CORONA kwenye QUARANTINE

    Upo sahihi sana.....wengi wetu tuna vyeti ila uwoga na aibu ndo unaturudisha nyuma. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Medical doctor (MD)needed

    Competent medical doctor needed... Location:kagera..muleba distrct For more information cantact:0744033484
  3. F

    Msaada kuhusu course ya clinical medicine

    good advice na si kama haoni aibu...hapana.nursing kwa sasa ni marketable kuliko hata hiyo co,na ina advantage nyingi sana,kwanza unakua na uhakika wa kupata g.p.a kubwa itakayo kuwezesha ukasome bachelor baadae since it is not complicated,pili RN yaan diploma ya nursing unakua na uhakika wa...
  4. F

    Nafasi za kazi kutoka kampuni ya Aim Intenational and Empowering Generation

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtu anapewa onyo afu anakurupuka kwenda inbox. Mkuu msaidie kuwaelewesha Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    Wakuu nimepoteza direction ya elimu yangu...

    Ukijua unataka nini hili swala ni dogo sana haliitaj ushauri, jua unataka nini kwanza sio baba anataka usome nini au Mama anataka usome nini au wanajamii wanashaur usome nini. Hilo ni fumbo ukifumbua jibu unalo mwenyewe humu utapata majibu mengi yatakayo kuchanganya akili. Ni mtazamo tu...
  6. F

    Mwanaume unajuaje umegusa kizazi/yai la mwanamke wakati wa kujamiiana?

    Huwezi kugusa kizazi wala yai(mayai )la mwanamke wakati wa faragha badala yake unaweza kugusa shingo ya kizazi ya mwanamke (cervix) kwasababu kizazi cha mwanamke(uterus) kinachopatikana baada ya shingo ya kizazi huwezi gusa wala fikia kutokana na upenyo mdogo uliopo katika shingo ya kizazi na...
Back
Top Bottom