Hakuna kitu kinachoweza kufidia kifo ila kuna kipoza nafsi japo umepoteza ndug but walau unafarijika kwa upande mwingine ingawa sio rahis asa kama wazaz walimtegemea mtoto wao awakomboe afu kafariki unadhani inakuaje
Na walivyo andaman kipi wamekipata labda cha maan au kusababisha tu wat kuumia asa wamefaidika nn haki haitafutwi kwa nguv wangewashtaki walio wanyima hizo fomu kwan mahakam hakun sheria hawazijui na kwann waandaman usiku kam kweli wao walikuwa hawan nia mbaya
Ko ww unaon rahaaa watu wapoteze maisha kisa chadema wanataka kitu flani kipi bora uhai wa mtu au chadema kutaka iko walichokuwa wanatak ni boraaa tutesekeee tu kivingine ila sio watu kuish kwa was was kufikia hatua dam zisizo na hatia kumwagika kwa maslahi ya mtu binasf mmoja huo ni ujinga maan...
Sio ccm ni kujua vitu na high thinking capacity ya mtu wenye uelewa mbovu ka nyie mnaon hivyo mna amini chadema wanatetea wanyonge kama wao ni watetez kwann wakubali watu wauawe wateseke wakae polisi kisa wao kama wangekuwa wanawatetea hata aquelina asingefariki wangewasikiliza police af wache...
Hiyo yote kwa sababu unashabikia chadema ila aliosema huyo bwana sio uwongo muoneni mwenyekiti anaetak demokrasia miaka yooote yy mwenyekiti wa cham mbon ccm wanabadilishana huo ni mfano mdogo tu chadema sio cham hata tund likisu walimpiga wao wanasingiZia serikali na hawatafanikiwa kamwee ww...
Nae alimuuliza hilo swal kinafiki tu asa yy amtembelee gadna wakat waliachan vibaya kwa ugomvi na talaka asa amtembelee ili kwan kazaa nae ameyata ko amekoma tu
Hizo part hazina muhimu zipo beg party mwanaume anafundishwa jins ya kuish na mke sasa hayo ya part za kugegedana wangine mnashuhudia sio part anamalizia ufuska wake akatulie ndoani basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.