Recent content by Faith HJ

  1. Faith HJ

    Wanaume anachofanya huyu mwenzenu ni sawa?

    Mwanaume wa hivi hata kutunza familia yake hatotunza sababu amezoea kuanzia mwanzo wewe unajitegemea kila kitu. Mwanaume anae kupenda atakujali kwa Fedha zake, ukiona mwanaume ukiongea habari ya pesa anakua mkali jua huyo hajui wajibu wake kama Mwanaume na amesoma akaacha shule shuleni kichwani...
  2. Faith HJ

    NIMERUDIA UJINGA.

    Sasa wewe unabaka binti si anajua amekutana na kibaka tu huko asiye jiheshimu?
  3. Faith HJ

    Uume haushuki nashindwa wife yuko mbali

    nimecheka sana Mkuu
  4. Faith HJ

    Natafuta mume anayeishi na VVU

    umekata tamaa sana, kwanini unataka mwenye VVU? wapo wanaume ambao wanaweza kuishi na wanawake wenye hali hiyo lakini wao hawana, inawezekana my dear usikate tamaa
  5. Faith HJ

    Hii mimba itakuwa ni Yangu au ilikuwepo tu kama mtego!?

    mimba itakua yako kaka, Sidhani kama anaweza kuwa sio Mwaminifu kiasi hicho
  6. Faith HJ

    Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

    sina uhakika maana sikuwahi kuongea nae
  7. Faith HJ

    Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

    Halafu ni lizuri hatari sio mvivu kitandani, + liko romantic mi ningeotaje mwenzenu mwaka mzima uko na mwanaume anakujali mi ningeota tapeli??/
  8. Faith HJ

    Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

    Weee wadada sisi tunapendaga mwanaume awe romantic mmmmmh Mwenzio nilikua naamshwa na sms taaaaamu asbh naachaje kudata
  9. Faith HJ

    Umeshawahi kupata mpenzi tapeli?

    :D:D:D:D Bora tu nicheke mie
Back
Top Bottom