Mm napendekeza speed za sasa 50 mpaka 80
Kweli safari inachosha kwa spidi hiyo lakini inasaidia kupunguza ajali kwa barabara zilizokuwepo sasa. Barabara hizi haziruhusu speed ya 100 mpaka 120 na ni nyembamba sana.
Dah hayo maneno bro
Acjisumbue saaana kufikiria ulaya
Asome zaidi ili aende hizo nchi za ulaya kama expart lakini azamie 2 na shahada ya diploma mwisho atasafisha barabara ulaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.