Recent content by fahima

  1. F

    Naombeni Ushauri: Je, huyu kijana bado ananipenda?

    hapan the boss mabadiliko yamekuja ghafla ndani ya mwez mmoj tu wkt tumeish miak 3nyuma hatujawah kugombn
  2. F

    Naombeni Ushauri: Je, huyu kijana bado ananipenda?

    Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 23 nina uhusiano na kijana mmoja hivi ambae ni mwanajeshi. Tangu tuanzishe uhusiano wetu hatujawahi kugombana ugomvi wa kutufanya tusiongee lakini mara ya mwisho alipokuja likizo nilianza kuhisi anamabadiliko fulani, but sikutaka kumfatilia sana kwa sababu...
  3. F

    Nafasi za kazi uhamiaji

    jaman tangazo hili limetoka lini?
  4. F

    Research ya wasichana wa Tanzania

    kwan tanzania kuna makabil mangapi? maan haya mengin ndo kwanz nayaskia
  5. F

    Research ya wasichana wa Tanzania

    Vp kuhusu kuruka ukuta mkuu?? Nasikia wazenji ni maabingwa..! hatuna kawaida hiyo msituharibie sifa kwa kusoma tabia ya mtu mmoja.
  6. F

    Research ya wasichana wa Tanzania

    mi mzanzibar kibo
  7. F

    Research ya wasichana wa Tanzania

    vipi na kuhusu wapogoro jamani?
  8. F

    Nahisi bado nampenda

    pole sana, ila mi nahic uachane nae kabisa
Back
Top Bottom