bora aachiwe tu maana hata mbowe kesi yake ilikuwa nzito sana tu baada ya kuachiwa kashukuru na kuhaidi kuwa mpya katika ujengaji taifa itakuwaje huyu mwenye kesi ya ujambazi aendelee kubaki kwenye kizuizi
hiyo sio sheria kupitia kifungu cha katiba but ni pendekezo na tamadubi za uhongozi uliopo madarakani kwa wakati huo naamini siku Raisi akitoka chama pinzani nao pia watakuwa na utaratibu wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.