Samahani wakuu, kuna kiwanda kipya cha viatilifu kipo kibaha.nilisikia kinahitaji watu zaidi ya 150 kwa ajili ya ajira.tulipeleka cv zetu muda mrefu tangu mwanzoni mwa mwaka huu,sasa sijui walishaita interview???na hiki kiwanda kimeshaanza kazi??
MAJINA YA USAILI TBS AJIRA ZILIZOTOLEWA TAREHE 25 NAY 2015 HAYA HAPA FUNGUA http://www.tbs.go.tz/images/uploads/TANGAZO_LA_KUITWA_KWENYE_USAILI_-_TOVUTI_sept_2015.pdf
Ukiangalia majina ya usaili ya utumishi yaliyotoka tar 22 mwezi huu na tangazo la ajira la mwezi JUne utagundua kuna Kada zingine hazipo na watu wengi tumeshtushwa na kutoona kada fulani tulizoziomba.Jana nimepiga simu Utumishi kwa namba hii 0784398259.NIMEJIBIWA KUWA KUNA KADA AMBAZO BADO...
Unajua tumeapply wengi sasa wangetoa majina ya interiview position ya research engineer ningejua nipo au sipo katika shortlisted.Lakini wao wametia kapuni kimyaa
Samahanini waheshimiwa, mimi niliapply online TEMDO kupitia utumishi mwezi JUNE 2015 position ya RESEARCH ENGINEER.Leo tar 22 august 2015 utumishi wametoa majina ya usaili nimepitia nashangaa position zote zina watu kwa ajili ya usaili isipokuwa hiyo position yangu niliyoomba ya RESEARCH...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.