Recent content by Fabolous

  1. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

    Halafu anafunga Akaunti zako zote za Benki, mpaka za mitandao ya simu. Unakua omba omba.
  2. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo kuruka hewani kuwakabili viongozi wa dini

    Sahihisha hapo kwenye Malikia Bernadeta. Huyu wa kwetu ni Jezebel
  3. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Leo mahakamani kwenye kesi ya mchongo ya TUNDU LISSU..soma hapa

    Tatizo ameshikiwa akili na elimu mbalimbali.
  4. Fabolous

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Wenye mamlaka ni Vatican., TEC wanakusanya taarifa za ushahidi tu. Kaa kwa kutulia, akitoka Baba wa Taifa unakuja mchakato wa Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
  5. Fabolous

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Kikwete alitukisea sana Watanganyika. Hapo ukijibu unapewa kesi ya ugaidi.
  6. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Namuamini Nchimbi lakini kujihusisha huyo baba wa ufisadi kunanipa shaka
  7. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Habibu Mchange na maigizo ya Wakatoliki feki.
  8. Fabolous

    JamiiForums Tanzania BANK-M mikononi mwa Firoz Bayi, Kutakatisha Pesa za wa siasa

    Kabla ya kufilisika hiyo Bank ilikua inatakatisha pesa., kipindi cha Msoga. Itakua ni kuendelea walipoishia.
  9. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Hizo timuni matawi ya CCM na Serikali.
  10. Fabolous

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ACT: Tunaitaka Serikali kukubali uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    Yes katika masaa 24 ya siku, saa mbovu husema ukweli mara 1.
  11. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi CCM amtaka CAG kufanya ukaguzi wa fedha za Tone tone za Chadema

    CAG pia akague fedha zilizopatikana kwenye mauzo ya dhahabu ya B.O.T
  12. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Abanane humo humo, akitoka tu watapata nguvu ya kumshughulikia
  13. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Nimeshamjua huyo.
Back
Top Bottom