Recent content by Fabolous

  1. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Taarifa za Heche za Benki ya CRDB zaonyeshwa hadharani Mahakamani na Wakili wa Serikali bila idhini ya mwenye Akaunti

    Bank zote za Wazungu hakuna huo ujinga. Mimi binasfi siwezi kufungua account kwenye hizi local Banks.
  2. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Taarifa za Heche za Benki ya CRDB zaonyeshwa hadharani Mahakamani na Wakili wa Serikali bila idhini ya mwenye Akaunti

    CRDB ni kama mitandao ya simu tu, Serikali ikiwa inataka kumteka mtu wanaku chomesha unaenda kuuwawa tu, they don't give a damn about your security Bank kama ABSA hawawezi kufanya huo ujinga.
  3. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kua kipenzi cha watanzania mpaka kuonekana adui yao

    Huyo akifa ndio Tanzania yetu itatulia.
  4. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Boss wako alienda Kizimkazi kujipendekeza.
  5. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Hivi wakenya walianzisha na kupigia upatu sheng lao kutokana na kutojua Kiswahili au kutaka kukiua?

    Boombo clat dat bway, dat ting is illega ya know
  6. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi

    Kuna mmoja hapo ni mweupe sana kichwani, itakua burudani sana kwenye cross examination.
  7. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Hivi wakenya walianzisha na kupigia upatu sheng lao kutokana na kutojua Kiswahili au kutaka kukiua?

    Nuttin' , mi smokin herb wit mi gyal .
  8. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Mguu mbele mguu nyuma

    Hii Shule naifahamu, hata mimi niliwahi kupiga picha kwenye hilo bango
  9. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Hivi, bila Tundu Lissu, Mwigulu angepewa uwaziri mkuu unaompwaya?

    Mwigulu ndio mti wenye matunda? Basi ni matunda ya sumu.
  10. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Hivi, bila Tundu Lissu, Mwigulu angepewa uwaziri mkuu unaompwaya?

    Hiyo paragraph yako ya pili ndio sababu muhimu.
  11. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Poleni jeshi la polisi kwa msiba huu mzito

    Umeitendea hak user namei Iyako, hongera sana.
  12. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Muhadhiri wa UDOM, Melkisedek Kaijage aachiwa huru, Apewa Masharti

    TANESCO na Mamlaka ya Maji wamrudishie huduma. Akaunti zake zifunguliwe.
  13. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    kuna mmoja hapo kichwani ni mweupe sana, amepewa cheo kwa mauaji .
  14. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Alivyo na tamaa hicho kitu hakipo
Back
Top Bottom