Recent content by Fabolous

  1. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Hii Chadema imeshindikana ndo maana akina Heche wana jeuri

    Wale wa deski la siasa kule kitengoni ni zero brain.
  2. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Picha: Mkutano wa Chadema Karatu watu walikuwa wengi kama mchanga

    Aka jasusi mwitu
  3. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Aliyeko karibu na Polepole

    No more? Oh hell No!
  4. Fabolous

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura: Wananchi na Polisi si makundi mawili tofauti, sisi ni wamoja

    Nataka nimrembeshee jiwe kamanda Tata.
  5. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Yuda angekua Rais 2025 Watanganyika 10,000+wasinge uwawa kinyama. October 29
  6. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu kumuomba Putin ampe Backup dhidi ya Donald Trump? Anamjua hayati Ayatollah Ali Khamenei?

    Natamani sana hii safari iwe ndio ileee anayosemaga britanicca
  7. Fabolous

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Msibabaishwe na Wanaosema Mitandaoni ‘Hapakaliki’, Tanzania ni Salama

    Msigwa, kuna ndugu mwanaume, mke wake alijifungua Hospitali ya Wilaya Kahama siku ya October 29 2025. Mke wake akaomba maji ya kunywa ikabidi ndugu atoke nje akanunue maji dukani, mpaka leo hajarudi ametafutwa kila sehemu hajaonekana Msigwa tupatie maiti yake tumzike.
  8. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Wameanza kuchanganyikiwa, wanajua hali ngumu itawafikia na wao.
  9. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Huu mchezo yule mwanzilishi wa utekaji mwenye PhD lazima yupo nyuma yake
  10. Fabolous

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuna project inafanywa na CCM ili ACT - Wazalendo iongoze maridhiano

    CCM na ACT Wazalendo wanahitaji maridhiano. ACT waliahidiwa viti vingi wangepewa ikiwamo Kigoma Mjini lakini ikawa tofauti. Yes hivi vyama viwili vinahitajji kiridhiana.
  11. Fabolous

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii, hata mimi lazima nitishie kukifuta ili bosi aone nafanya kazi

    Watakuepo ila hawawezi kuzidi 3% ya hiyo nyomi.
Back
Top Bottom