Recent content by Fabolous

  1. Fabolous

    Hilda Newton: Hili liwe funzo kwa Mafwele na genge lake. Christopher Bagenyi kunyongwa hadi kufa

    Kwenye movie ya Denzel Washington ukiona amekuchekea ujue hutaliona jua likizama siku hiyo. Frank Lucas's style
  2. Fabolous

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Anayejua kua hii ni comedy au si comedy ni Mwenyezi Mungu tu. Kuna dini waumini wake wanapenda kuchukua madaraka ya Mungu kazi ya kuhukumu binadamu wenzao.
  3. Fabolous

    Wengi waigomea Idd el fitri ya BAKWATA, Wadaii Idd halali ilikuwa Ijumaa

    BAKWATA itarudishwa kwa Waislamu na inatakiwa iwe Independent kama ilivyo TEC. Sio kua kikaragosi cha CCM
  4. Fabolous

    Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    Hiyo paragraph ya mwisho mtu qa kumkaumu ni Kikwete. Ametukosea sana Watanganyika.
  5. Fabolous

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Yesu alifunga siku 40, hakuhitaji kufunga lakini alifunga ili kutufundisha sisi namna bora ya kuwa karibu na Mungu.
  6. Fabolous

    Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Ila mtoto wa Rais,Waziri wa Habari na Serikali nzima wananunua magari ya kuanzia milioni 500 mpaka Bilioni 1 na zaidi. Nani ameturoga?
  7. Fabolous

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Huyo kabla ya Waziri alikua bondia ,ni mchezo anao upenda.
  8. Fabolous

    Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

    Kuna Ofisa mmoja wa Polisi aliulizwa na Wakili msomi Kibatala nini maana Terrorism? Akajibu ni mambo ya Utalii.
  9. Fabolous

    Wakatoliki hawana ubaguzi wako na rational judgment.

    Majaliwa sio fisadi, hauzi ngada, sio fisadi wala hamiliki meli ya kusafirisha ngada.
Back
Top Bottom