Eheeeeee,sasa umenihudhunisha,nakushsuri ,umweleze ukweli mchumba wako,uone atasemaje,ogopa kumzalisha bint wa watu et utalea,wakat unamfuata ulijua unamtu mwngine,pengine yey ndye mkeo,kingine moyo wako unampenda nani?je dada yako akifanyiwa hivyo utafanyeje? Au mwanao?fikiri kabla ya kutenda...
Okey,kagundua unampenda,hebu,achana nae Fanya yako,usimuwaze,na ukienda kwa mganga dawa zikiisha utajuta,kama kiatu si saizi yako cha nn kukinunua,?hebu songa mbele ,usijejuta badae,muombe Mungu juu ya hilo uweze kumsahau akilin mwako na uwe n aman
Angekuwa unampenda kiukweli,asingekuoa,kwan wewe humkumbukagi ex wako?tulia muimbe Mungu akupe amani ya moyo juu ya hili wazo,kwani unaweza kuivunja ndoa yako dada,pole
Hapana,huyo alikuwa unampenda ndo maana akamkubali,mm siwezi kukubali kuwa ukigandwa sana unaamua kukubali,lkn hatuwezi jua moyo wa MTU,mwngine anaamin kuwa akin'gan'ganiwa sanaa ndo anapendwa basi anakubali,kiukweli,ktk hilo ni wawili hao ndo wanaujua ukwel ktk kukubaliana kwao ilikuaje.
Mh,kama unampenda,nendeni kwa wazazi mkaseme mloyafanya ufuate taratibu n sheria za kwao muoane,kama alifaulu akishazaa n kulea mwanenu mpeleke chuo ndoto zake zitimie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.