aaah baadhi ya watz wana wivu wa kimasikini wanataka tajiri awe mwarabu mzungu au Singasinga.Hongera mzee Mengi mtanzania wakwelikweli waokubali achana nao.
Nchi hii utafikiri tumerogwa, uchafu kuanzia barabara ya Lumumba mpaka Kariakoo yote utafikiri hakuna wahusika au viongozi,tumezoea maneno matupu utendaji sifuri. Meya Slaa ajione kuwa hafai na viongonzi wenzake kuongoza Manispaa uchafu huu ni kielelezo chauongozi wao.
Mawazo yako ni kweli lakini ata aliyetoa maoni haja kosea ,kwani wakati hivyo vyuo vinakamilika elimu itakuwa imeboreshwa kwahiyo wanachuo watapatikana wazuri.Pili ingawa wengine wanabeza hizi shule wajue kuwa zina wabadilisha kiupeo watoto wengi jiulize kwanini siku hizi kupata dada wa kazi ni...
Wasio mjua Mungu ndio wanaompakazia, ocd yeye ni mtu wa Mungu watu wote kati ya Police wachache waamifu yeye ni mmoja wapo na anasimamia haki wasio taka haki ndio hao wanampakazia naomba aendelee na msimamo wake wa kazi Mungu ambaye anamtumainia atakuwa upande wake daima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.