Habari wakuu
Mimi ni muajiliwa nipo mkoa wa dar es salaam naitaji kusoma advance mwaka mmoja
Naomba mnisaidie kwa lolote mawazo yenu, mbinu , na wapi sehemu gani niende niweze kutimiza lengo langu hilo.
Nitawashukuru sana kwa msaada wenu
Wana JF habari za Jumapili.
Naombeni msaada wenu nina changamoto ya hili tatizo kwenye picha yapata sasa kama miezi 6 yamenipata haya nimetumia kila aina ya dawa hospital nimejaribu kubadisha hospitali tofauti tofauti lakini sipati nafuu.
Najikuna sana viwiko na shingoni mapaka ngozi inatoka...
WanaJF habari za Jumapili.
Naombeni msaada wenu nina changamoto ya hili tatizo kwenye picha yapata sasa kama miezi 6 yamenipata haya
Nimetumia kila aina ya dawa hospitali nimejaribu kubadilisha hospitali tofauti tofauti lkn sipati nafuu.
Najikuna sana viwiko na shingoni mpaka ngozi inatoka...
Coment ako inanionyesha uhalisia wako jinsi ulivyo sjui ni kutofikiri na kutafakari najua akili unayo ila nimeomba msaada uwezi kumjib mt ivyo. Asante sana leo kwangu kesho kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.