Recent content by F mkamilo

  1. F mkamilo

    Wapi nitapata Elimu ya Kilimo cha Nyanya za Kisasa?

    Waloma Kilimo na Ufugaji. Hawa jamaa huwa wanatoa Elim na ushauri kwa Elf 25 nadhani. Wapo Ubungo njia panda ya chuo na Makongo ndipo Shamba darasa lilipo. Mkurugenzi wao Anaitwa George Sanga. Niinbox nkutumie mawasiliano yao au Unaweza watafuta Insta pia kujiridhisha.
  2. F mkamilo

    Kwa anayekijua kilimo cha kitaalam, Bashe yuko sahihi

    Unaweza ukanipatia connection na wataalam wa kuandaa Greenhouse ya Robo heka kwa Tsh 4,000,000/= ? Nna wasi nawe kuna tafiti hujafanya vzr kujua gharama za Greenhouse.
  3. F mkamilo

    Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

    Ushanipa chama tayari mara hii? (Any way) Hivi ulifatilia lakini na kuona ni kwa kiasi gani wazungu walikua wanaichukia serikali ya kipindi kile? Na kama jibu ni ndio, vipi ulijua sababu ni nn haswa? Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  4. F mkamilo

    Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

    Nilikuwa nafatilia kwa umakini zaidi Comment za watu hum baada ya post yako. Kuna idadi kubwa ya watu wanaokupinga na kukushambulia kwa Lugha chafu, Ila cha ajabu kati yao wote sijaona hata mmoja aliejibu kwa hoja juu ya swala la udhaifu wa Lisu kujiegemeza kwa wazungu. (Hali ya kua wote...
  5. F mkamilo

    Balozi Polepole hapoi, hachoshi na anaongea kimamlaka. Azionya Wizara ya Afya na TAMISEMI

    Unlearn to Learn. Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  6. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Unatetea wanaopinga uwepo wa Mungu? Kama ndivyo basi hufai kuskilizwa. Na hii mada ni bora iishe na tubaki na SMO ya Mrusi huko Ukraine. Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  7. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Uwezo wako wa mapokeo ni tatizo. Simtetei ila napinga mnavyoshindwa kutofautisha dini na uwepo wa Mungu. Tena haswa kwa ile kauli yako uliyodai anapinga uwepo wa Mungu. Kuna mahali alikwambia haamini kama Mungu yupo? (Kama kaonyesha hivyo basi ni wa kumkemea bila kuacha kwasababu anafanya...
  8. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mbona umechanganya madawa? Mwanzo hakuwa na dini, sawa hilo limeeleweka. Je alionyesha kutoamini uwepo wa Mungu? Baada ya kuraruriwa alikumbuka na kuonyesha dini ipi? Au alionyesha tu imani yake juu ya uwepo wa Mungu? Naona mnachanganya mambo hapo, maswala ya dini na uwepo wa Mungu. Sent...
  9. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sidhani kama umeelewa ulichokiandika na kilichoandikwa na mwenzio. Kwani kakwambia haamini kama Mungu yupo? Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  10. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Tujiandae kwa safari za moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Moscow. https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/magazines/sound-living/travel-russia-and-tanzania-to-establish-direct-flights-4223170 Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  11. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji28] tuwaache tu waendelee kupotea na ulimwengu wao wa giza. Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  12. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji1] kuwaelewa ni kazi sana hawa viumbe. Ndomana wadau humu wanasema hawa washirika wa West wana fikra za ulimwengu wao ambao mwanadam wa kawaida huwezi waelewa. Sijui wamepigwa limbwata la aina gani aloo. Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
  13. F mkamilo

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji1] "Z" imechorwa na chaki. Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom