Recent content by F-22 raptor

  1. F-22 raptor

    Isuzu Bighorn vs Suzuki Grand Escudo?

    Ni muhimu kujua profile kama hizo wakati mwingine huwa zinasaidia, tabia za magari linaweza kukulaza polini kwa kitu kidogo sana. Anakuja fundi anagusa tu gari inaondoka.
  2. F-22 raptor

    Isuzu Bighorn vs Suzuki Grand Escudo?

    Isuzu Bighorn engine zake ni very complex kumaintain hasa hii diesel 4JX1 motor Hii engine ni commonrail lakini ni tofauti na commonrail za kawaida tunazozijua. Utofauti upo kwenye high pressure pump na commonrail system kama ifuatavyo. (1)4jx1 high pressure pump ina press oil kuingia Kwenye...
  3. F-22 raptor

    Karibuni Songea

    Lipalamba
  4. F-22 raptor

    Trafic amegoma kumchukulia hatua dreva wa lori la jeshi

    Kama ni muelewa asingesimama juu ya zebra
  5. F-22 raptor

    Azam, Azam Udini utawaharibia

    Mmeshawahi msikiliza huyu mchambuzi kuhusu vita ya Hamas na Israel kwenye Azam tv?
  6. F-22 raptor

    Kwanini Barabara mpya kwa Jiji la Dar es Salaam zinajengwa kwa njia 4?

    Cha kusikitisha hata njia muhimu sana ya kuelekea International Airport, reception ya Taifa inajengwa njia 4, tena finyu likitangulua roli huwezi kuliovertake!!! Hakuna vituo vya daladala, inasikitisha sana, viongozi wetu wana matatizo makubwa sana.ukiangalia njia kuelea Airport nafasi kubwa...
  7. F-22 raptor

    Changamoto za kumiliki gari "unique"

    Kwa nini inachemsha? Uspanic,angalia vitu vifuatavyo 1) Je thermostat ni nzima? kwa maana inafunguka na kufunga katika joto linalokubalika?na pia angalia radiator fen iko poa? Thermostat inaweza sababisha kuchemka engine kama itakuwa ime stuck close position. fungua hiyo thermostat ichunguze...
  8. F-22 raptor

    Kwanini Waarabu ni wagumu kujifunza?

    Nakufahamisha USS strike group imepiga kambi hapo kuwasubiri hao mahayatola waingie kwenye 18 zake.
  9. F-22 raptor

    Kwanini Waarabu ni wagumu kujifunza?

    Walipigwa vipi wakati waliingia mpaka Lebanoni? Truce ndio iliamua vita, Israel wakarudi kwao. Majeshi ta umoja wa mataifa yakawekwa Lebanoni,
  10. F-22 raptor

    Kwanini Waarabu ni wagumu kujifunza?

    We jamaa unafurahisha sana, yaani U S A unaifananisha na Iran ? kweli ? Level ya Iran ni sawa na Iraq. Safari hii Iran akijichanganya ataingia kwenye 18 za USA, labda aombe msaada kwa Russia. Safari hii atachezea Tomahawk za kutosha.
Back
Top Bottom