Mnawezaje kuleta mabadiliko ikiwa mfumo wa cha ni uleule kama mnavyotuimbia kwenye nyimbo zenu za kampeni... "ccm ni ile ile ooooh ni ile ile..." Serikali ya awamu ya 4 ya ccm JK alijaribu kuvunja baraza la mawazir zaidi ya mara 3 akitegemea kubadilisha mfumo wa serikali yake. Lakini mfumo wa...
Wameona conference ya kwanza haikuzaa matunda ndo Itakua hii! Tushampuuza huyo mzee, atakula pesa ya ccm na Lowasa ataingia white house, tushaamua.. Yes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.