Habari wana jamii forums [emoji1366]
Let’s chat for fun boys and girls ukiulizwa muda mda huu body count yako inasoma ngapi utakuwa na kumbukumbu boys au girls wangapi umelala nao mpka sasa?
For me ni mmoja mpaka sasa naendelea kujitunza mpaka future wife atakapo kuja am waiting for her popote...
Iko hivi baada ya kuona dharau zimezd niliamua kum suprise iPhone siku ya birthday bila kujua nili set icloud yangu kabs so kila picha na video anazorecord naweza kuaccess na location pia.
Watumiaji wa iPhone watakuwa wamenielewa nilizipataje video wakiwa wanarecord wakiwa room wamelala hata...
Mmenishaur vibaya kaja na police wamekagua simu zangu zote na mm pia nimeomba simu yang niliyomnunulia siku ya birthday iphone x nikampe tu bi mkubwa aache tu kutumia infinix [emoji23]
Nimetumia hizo video kaja home na police. Wamekagua simu yang na kufuta video zake wakiwa kitandani na mwenye forester.
Nimetishiwa maisha endapo nikivujisha maisha haya jaman nichapiwe na kutishiwa maisha haya bhana.
Mkiona kimya ujue nimetekwa. [emoji28]
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandani ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi uliopita kupitia hali yangu mbaya kazini.
Niliamua tu...
[emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana na niliachwa pia kisa kapata penzi jipya usiku mzima siku ipo busy wanaongea nikipiga inatumika akipokea anakasirika anasem anaongea na mama ilibd tu nijiongeze hata kama nilimpenda maskini mtoto wa watu nikampa na block.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.