Huyu yeriko ni ndumila kuwili kama walivyo akina mbowe hivi mwenye akili timamu hawe poteza muda wake kwa kuaoma ujinga na upuuz anao uandika naye yumo kwenye kundi la wale wanaoamin bila kuelewa wala bila kuhoji anajichanganya tu hajui ameanzia wp na yupo wap ndo mazezeta wanaojifanya wajua...
Kwa harakaharaka kundi linalomwona zitto kama msarit asilimia 90 lazima watokee kanda ya kaskazin na hata ukifuatia kwa makin elimu Zao ni std 7 mpaka kidato 6 kama hukubalian na mm una matatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.