Recent content by ezekiel nathan

  1. E

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    Jf habari zenu sio za kuaminika jana mlisema ilyepigwa na Ndungai kafariki leo Dr Slaa anaondoka,hizi habari za kizushi za ccm
  2. E

    Ushauri: CCM Tengua Magufuli weka Dr.Slaa

    Kumbe anatoka kwasasababu ya bilions basi na yeye ni fisadi hajapata nafasi
  3. E

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    Ccm utawajua tu kwa maneno ya uchochezi,anaondoka anaondoka aende wapi,act?ccm?makosa gani yalimuondoa zito kwa hiyo huko anaenda kunywa matapishi au kulamba,ccm ndo mfumo fisadi aende wapi?acheni uchochezi Slaa ni chadema na hawezi kuondoka na maneno ya uchochezi
Back
Top Bottom