Recent content by Ezekiel Maige

  1. E

    MAJADILIANO YA MAKINIKIA: Barrick yakubali kulipa Dola Milioni 300 na kugawana faida 50/50 na Serikali ya Tanzania

    Ndugu zangu wanaMsalala na Watanzania, Kwa mara nyingine, nampongeza na kumshukuru sana mheshimiwa Rais Magufuli kwa mageuzi makubwa aliyosimamia katika madini ili yatunifaishe watanzania, hasa tuishio jirani na migodi. Wengi mtakumbua, kutonufaika na rasilimali zetu imekuwa kilio cha wananchi...
  2. E

    Shinyanga: Acacia yalipa Mil. 460.7 kwa Wilaya ya Msalala kama ushuru wa Januari-Juni

    Jamani, this is nothing new! Tunadeal na wawekezaji wahuni na wezi wa kimataifa. Hii hundi ni SERVICE LEVY, ambayo hats Wafanyabiashara engine wanaomba. Lini mmeona NIDA, COCA-COLA nk wakiita press conference kukabidhi hundi za ushuru huo?. Wanataka kuuhadaa umma kwamba Msalala tunalipwa hela ya...
  3. E

    Maliasili na utalii Kuna nini?

    Ni Bahati Mbaya sana Watanzania wenzangu wengi mlizidiwa na upepo wa Lembeli ambaye sasa kidogo mmeanza kumjua. Wakati ule hamkunipa nafasi ya kunisikiliza. Mungefanya hivyo (kufanya utundu wa kutaka kujua "huyu bwana analalamika hajapata nafasi ya kusema, angepewa nafasi angesemaje?". Kwa...
  4. E

    Swali gumu sana na chungu kwa CCM ya Kinana na Kikwete.

    Kigoma Mjini alikuwepo Dr Walid Kaborou (CHADEMA), akashindwa na Peter Serukamba, CCM. Mmesahau? Au mmesahau majimbo ya Temeke(Mrema), Ubungo (Lamwai), Arusha Mjini (Makongoro Nyerere), Kyerwa (Benedicto Mtungirehi), Mwibara(Mutamwega), Siha (Makidara Mosi) nk Haya yote yaliwahi kuwa upinzani...
  5. E

    Maoni yangu kuhusu sura ya 1 na sura ya 6 ya Katiba Mpya

    TUTENGENEZE KATIBA YA SERIKALI MBILI ZISIZONUNG'UNIKIANA Hivi sasa, taifa letu liko kwenye mjadala mkubwa wa kijamii na kisiasa katika mchakato muhimu wa kuandika upya Katiba yetu. Mchakato huu umeanza kufuatia kuwepo malalamiko kutoka kwa watu kadhaa kuwa katiba yetu, ambayo imelilea taifa...
  6. E

    Ezekiel Maige: Ni kweli ninamiliki nyumba ya kifahari Afrika Kusini

    Jamani watanzania wenzangu, nashauri sana katika masuala kama haya tuwe na utaratibu ufuatao:- 1. Kama hujaelewa au kumsikia aliyesema, basi uliza kuliko kuanza kupotosha makusudi 2. Tujitahidi kuweka pembeni siasa, hasa linapokuja suala kama hili ambalo ukweli unapatikana kwa mhusika. Kwa...
  7. E

    Lowassa afunika dar

    Kwa maoni yangu, kwa mfumo wetu wa utawala wa demokrasia hii ya kurukia, yenye kujaa fitna, umbeya, ushabiki na chuki, hakuna mwenye uwezo wa kuthubutu atakayesimaa. Maige alithubutu kuwanyima wazungu vitalu. Maige alithubutu kufunga biashara ya wanyama hai na hivyo kuokoa twiga wetu...
  8. E

    Samaam za Krismasi 2013

    Wapendwa ndugu na marafiki. - Nawasalimu na kuwatakia amani kwa jina la Bwana wetu Yesu -Mzaliwa!! - Tukio hioi la kuzaliwa Bwana wetu Yesu kristu -si tu kwamba ni msingi wa ukombozi, amani-na furaha -yetu sote, bali pia ni msingi wa mafanikio kwa Mambo yetu yote!! - Baada ya Wazazi wetu...
  9. E

    Nape Nnauye: Kuhojiwa kwa mawaziri kamati kuu ya CCM hakukwepeki

    Hongera sana SG Kinana kwa kutembelea mikoani!! Umeonyesha moyo wa kizalendo na kujituma sana!! Umetusaidia wabunge wako kuyaona yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia kila wakati!! Hakika unatuongezea ushindi 2015!!! CCM Hoyee!! Nampongeza sana pia rafiki yangu Nape!! Hatimaye umenigusa moyoni...
  10. E

    Nape Nnauye: Kuhojiwa kwa mawaziri kamati kuu ya CCM hakukwepeki

    Nampongeza sana Katibu Mkuu wetu Mzee Kinana kwa pumzi!! Maana mikoa zaidi ya mitatu si jambo dogo!! Kwa upande wa Rafiki yangu Nape, nampongeza sana pia!! At last ameanza knifurahisha!! Mngekuwa manwaita wote wajieleze ingefaa sana!! Maana kuna wengine shetani alikupitia hukupenda kuwaita...
  11. E

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    This is shocking news to me and the Nation. We needed Dr Mvungi at this time than any other time before!! Through him and his colleagues in the Warioba Commission, we expected and we still expect, to get a New costitution that will put us together as a nation and through it and our hard work...
Back
Top Bottom