Kiukweli matukio ya ajali yamezid kwa mda mfupi sana toka tuanze mwaka 2015 had I kufikia tare he ya Leo tumepoteza ndugu zetu wengi sana roho Yangu inaumia sana natoa pole kwa wote walio patwa na janga hili pia mwenyezi mungu azilaze roho mahali Pema peponi amen
He yeye undo wakwanza kusema ivo mbona hamsemi kwa ujumla selikali yote kuanzia president na ngaz zote mpak kwa mjumbe wa nyumba kumi hawaja Fanya vizur huku yombo mbona hakueleweki kama kuna barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.