Recent content by eze malongo

  1. eze malongo

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    kila sawa ina side effect kuna mtu alikunywa dawa tatu alivimba macho
  2. eze malongo

    Upotoshaji mkataba na DP world kwa manufaa ya nani?

    mi naona jambo la serikali ni jema ila masharti ndo yanazua taharuki nukuu ''' hata gunduz bey alitaka kuusaidia ukoo wake kwa nia njema kumbe alikuwa akiingia kwenye mtego wa waziri aremsha ''' nia ya serikali ni njema ila ingalie kwa jicho la tatu hakuna mtego mbeleni
  3. eze malongo

    Naomba kumfahamu vizuri Shaaban Robert

    Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi? Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama...
  4. eze malongo

    SoC03 Mzazi na mabadiliko kielimu

    mwandishi nguli wa vitabu
Back
Top Bottom