mi naona jambo la serikali ni jema ila masharti ndo yanazua taharuki
nukuu ''' hata gunduz bey alitaka kuusaidia ukoo wake kwa nia njema kumbe alikuwa akiingia kwenye mtego wa waziri aremsha ''' nia ya serikali ni njema ila ingalie kwa jicho la tatu hakuna mtego mbeleni
Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi?
Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.