Recent content by Exy

  1. Exy

    Mwijaku: Tokea Fred Vunjabei aweke Jezi mpya za Yanga zilidoda ila tangia aweke Jezi mpya za Simba anauza hadi anachoka kupokea Pesa

    Mwijaku na wewe tunawajua mnatoa macho yenu ya 3 kwa matajiri hapa mjini😂
  2. Exy

    VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    Kwetu kule Meru wewe tunakushika na kuchapa mboko 70.
  3. Exy

    Kupagawishana, kuchezeana na kuamsha mizuka kwenye simu

    Huyu ni mmoja ya wale wa nakojoza kwa video call kwa bei nafuu😂😂😂
  4. Exy

    Zilizovuja kumbe zilikuwa ni zenyewe bwana Yanga bingwa tena kwa kufaulu nje ya uwanja

    Mbona kama umebanwa na mlango....toa sauti usikike😂😂lonyalonya fc
  5. Exy

    Hafla ya tukio la uzinduzi wa Jezi za Simba Sports Club pale Super Dome Masaki

    Uzinduzi wa jezi umekuwa kama uzinduzi wa taarabu na singeri!!.
  6. Exy

    Aren't: Nchimbi be careful

    Ni ujinga tu kuamini eti Nchi nae sio mwizi au mzalendo. Mzalendo ni anakataa mambo yao mapema.
  7. Exy

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Kwani unaona nimekwambia aliyepo ana nafuu?.
  8. Exy

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    N Ukiona mjinga anamsifia magufuli ujue hana akili.
  9. Exy

    Haya tufanye pesa zinachotwa kama anavyowaongopea Polepole na Mange Kimambi. Nyie mnasemaje? Mna la kufanya?

    Ukute mtoa mada baba yake anaishi kwenye banda la mlango wa hamisha nipite ila anatetea majambazi😂
  10. Exy

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Yuko na roho za kina Ben saa8, Mawazo...
  11. Exy

    Unajua kwamba Yanga inagonga 90? Lakini, haijawahi Kuwa Miongoni Mwa Wababe Watano Bora Kwa Soka Barani Afrika..!

    Rank sio mafanikio.... Rank ni sawa na demu wa bar kila aliye vuzuri mfukoni anamkojolea!. Mafanikio ya mpira ni vikombe tu!!.
  12. Exy

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Ulichoandika hata chizi atakucheka, hizo tume na mahakama zimeundwq au zinasimamiwa na nani?. Magufuli hakuwq na wema wowote wala hakuna mwanaccm atakuwa mwema kwa Taifa!. Wote wanapambania maisha yao... Huyu polepole angekuwa ndani ya mfumo angeyasema haya?.
Back
Top Bottom