Mfumo imara wa Nchi unatengeneza VIONGOZI imara, wazalendo, jasiri na wenye uwezo kusaidia jamii na sio kundi la watu!.
Mfumo wa nchi yetu umeanza kuharibikia kwenye awamu ya kikwete ambapo ulimilikiwa na kundi la watu wajinga na wenye tamaa ya Mali, wasiojali maslahi ya RAI. Zama za kikwete...
Leo hujaandika namba lema akudondoshee anazookota ccm!!., kiufupi chadema wamefiwa na VIONGOZI wangapi?, cdm wametekewa VIONGOZI na wanachama wangapi wameuwawa?, UMEWAHI kusikia pole ya ccm kwenda chadema?. Cdm tunaamini aliye nyuma ya mpango wa mateso na vifo vyote hivi ni ccm na serikali...
HUWEZI kumtakia pole muuaji na jizi la Mali za Tanganyika!, kwa alichofanya lisu hata mm hakijanipendeza ni sawa na alichofanya Mbowe katika harambee yake ya kkkt huko Hai!. Hakuna urafiki na adui anayekuua na kukuteka... VIONGOZI wa cdm nchni wametekwa sana, wameuawa sana ni wapi na lini...
Ukitenda wema utalipwa wema, ukitenda vibaya utalipwa vibaya.... Vyeo/Mali wanzopata kwa dhuluma huku watu wanauwawa kwa maagizo yao ndio chanzo kikuu cha haya... Kosa pesa au madaraka ila pata huruma ya watu.
Wajinga ni nyie mabata na wachokolewaji bata mzinga nyie!!, yaani unakuja hapa unajinasibisha na upuuzi wako ili iwe Nin?, Oct 29 ulikuwa wapi kutoa taarifa kwa jamii km bibi yenu amepanga kuua?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.