Unampangia nini afundishe lecturer?, ndio maana Leo tuna wahitim wa vyuo vilaza kwasababu hawafundishwi mambo ya msingi... Mtoto toka Drs 1 anafundishwa historia majimaji war mpaka chuo kikuu!!. Ccm wameua elimu yetu .. hazitakaa zitoekee zama za akina SAMWELI SITTA walikuwa wanafunzi Bora sana...
Huyo takataka mwenzako alikwenda kwa Kodi zetu wala hakuna hata mia alitoa kwenda kumuona Lissu!!. Ikiwezekana mwambie nae aje nimpige risasi akalazwe ili Lissu akamuone!!. Au alikuozesha wewe akapata nauli?.
Kwani wewe ulishatoka BAWACHA ndg Suzan kiwango🤣🤣... Na uliyemtuma amdnganye kiongozi BAWACHA kanda ya Kati et apewe million 1 amtukane Heche clips zao zipo mtandaoni...matako yenu
Shida sio usmart wa wanaotengeneza propaganda au propaganda zenyewe, shida kubwa ni wapokeaji wa hizo propaganda zao wa sasa G -z , wapokeaji wa propaganda za sisiem nyakati za Tanzania ya GIZA yaani hakuna Teknolojia walikuwa na uelewa ndogo sana juu ya mambo mengi ya Nchi hii ndio maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.