Ulichoandika hata chizi atakucheka, hizo tume na mahakama zimeundwq au zinasimamiwa na nani?. Magufuli hakuwq na wema wowote wala hakuna mwanaccm atakuwa mwema kwa Taifa!. Wote wanapambania maisha yao... Huyu polepole angekuwa ndani ya mfumo angeyasema haya?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.