ungerekebisha kauli hii ya kejeli kuhusu uislamu na waislamu kwa kuzikashifu madrasa zinazotoa mmafunzo ya dni. Wapo waislamu wapo wengi sana wanaomna upungufu wa serikali na hawakosi kama waislamu bali kama watanzania, kadhalika kama kuna watu wanamtetea ama kumkashifu kwa sababu ya dini yao ni...
sioni kama ccm inawaogop wajumbe ila naona ia jaribu kuenda uhalisia uliopo kwa ground hali halisi sio nzurisana wanajaribbu kurekebisha mambo ambayowalidhani ni muelekeo mpya lkn walijiongopea na wanataka kurekebisha hilo kosa
Kwanini wewe usipuuzwe kwa huu ugolo umeandka hapa na ni kweli wewe unaamini amepuuzwa!
Maana ameongea lakini kilichofuata ni kuahirisha mkuta mkuuu na leo unaona tangazo la mkutano maalumu umeitishwa kkwa njia ya mtandao kufanya mabadiliko madogo, hujiulizi kuwa nini alichonacho mtu huyo kama...
Rais Samia alikuwa Makamo wa Rais kweli na kwa katiba pia akawa Rais na akawa wa kwanza katika Historia ya nchi yetu kuwa Rais ambae hakuchaguliwa ama bila ridhaa ya wanachi.
Sasa anachokisemqa POLEPOLE ni kuwa kama hata kweli alitaka kugombea mwaka huu mchakto unatakiwa kuwa wazi na wanaccm...
Mtu kama huyu alipaswa kutangazwa kama adui wa Taifa na binadam kwa ujumla wake ni mtu mwenye fikra za kikoloni.
Mmambo kama haya ya kupunguza idadi ya watu yanakuwa na malengo maalumu hasi kwa ubinadamu na hakuna ukweli wowote kwa hicho kinachosewa na Bwaba huyu, kma ni kweli ni vipileo mataifa...
Sasa wewe umeona Hilo la mtu me kubanwa mbavu na unakejeli umesehau kuwa ndani ya bible kuna kisa cha mungu wenu alishushiwa kipigo na DAUDI mpaka akasalimu Mari!
nchi inaongozwa kwa sheria sio mitzamo au mapenzi ya mtu. sasa mbona ingekuwa hatari kila mtu akitamani jambo lake liwe nchi itakuwa kama gheto la masela.
sasa kama unaona linafaa jambo hilo fanya bidii ya kuwashauri wafanyanya maamuzi kulitungia sheria hilo ili kila rais atakaefia mamlakani...
aisee hiyoakili yako ni shida sana! Aliyekwqmbia uislamu ni kanzu nani aisee hilo ni vazi lenye asili ya nchi za waarabu na wala sio dini ukitaka kujua hilo enda kwenye nchi kama ya Jordani utaweza kuona namna hata wakristo ni vazi rasmi kwao jna wanaingia nalo mpk kanisani huko nawala sio...
sasahilo lina ubaya gani kwani hata kama angeajiri asilimia zote waislamu kwani unampangia mtu na hela zake na je unayafahamu malengo ya taasisi yao labda wamelenga kuwainua watu hao,.
Tumeanza lini kupangiana mamba ya kufanya aisee? hata wewe unao uhuri wa kufuatilia vipindi ama kuacha ndio...
kama anachoongea hakivunji sherikani mtu mwache aongee ateme nyongo yake apono moyo wala hakuna haja ya kumoderate anachokwenda kuingea ali muradi havunji sheria
hapa unazungumzi auhuru wa mtu kujiung ana chama cha siasa anachokitaka. hapo miminionavyo wala hakuna usalitini matashi ya mtu kujiunga nachama kwake anachokiona kinamfaaa kuendesha harakjati zake. kuna muda lazima watu waheshimu haki za mtu kujiamulia kwa utashi kile anachokiona kinamfaa...
hapa ningeanza kuku kukuuliza umr wako kwanza na mida umeanza kufuatilia siasa.Lissu umemjua labda baada ya siasa za magufuli na tukio la kupigwa risasi.
Mapambano ameyaanza muda mrefu ka la hata ya ubunge akiwa anafa ya kazi utetezi wa haki za kininaadamu kama mwanasheria kuthibitisha hili...
aliyekwambia bara wakristo ni wengi ni nani na unatumia takwimu gani wewe. Nikujuze tu sensa ya mwisho hapa tz iliyofanyika kukiwa na dodoso la dini ni ya mwisho mwaka 1958 wakati huo idadi ya watu nchi hii ilikuwa mil 11 na asilimia 62 ilikuwa ni waislam. sensa ilitifuata tukiwa tumepata uhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.