Sampuli uliyotumia haitoshi kuwa wakilishi ,wingi ule ni kwa sababu ya ziara ya prezdaa tu..ukweli hufichwa daima na mamlaka ..kwan hujui Uhuru wa nchi hii uliletwa na jamii ya watu gani???
Dash huo ugonjwa nauogopa sana"" metastasis "?? Pancreatic cancer stg 4!!! Ni mbaya sana kama kweli imethibitika kwa vipimo vya uhakika basi siongei neno zaidi ya pole sana mkuu ila madaktari huwa wanawaambia ndugu wa karibu kama mgonjwa hawezi pona na siikumuambia mgonjwa!!! Pole mkuu
Nawaza:- hawa wamesema tayar wameshaandika barua ya kuandamana tar 12/4 (wamejitambulisha tayar) ,...Nawaza:- jee watu wengine wakiandika barua ya kuandamana 2604 (watakuwa wamejitambulisha pia) je,watachukuliwa hatua gani?? Au watapotezwa kimyamyaa..????' "".aah hebu tusubir kama hawa nao...
Mimi nilienda pale mzee mmoja akanikadiria ela nyingii mnoo kuliko hata mtaj nlionao kabla sijaanza biashara nikagoma ,nkamwambia mzee basi bwana ntarudi siku nyingine sikurudi teeenaaa ,na biashara yenyewe nikaihamishaa...ahh yule mzee kibokooo
TBC ni chombo cha Habari cha serikali, kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi hivyo kama gharama za kurusha matangazo ya Bunge ni tatizo basi wananchi tupo tayari kujichangacha ili tupate haki ya kikatiba ya kupata Habari live za kibunge live!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.