Recent content by Exformer

  1. Exformer

    TAESA, naombanipate mtu wa kunitafuta nafasi ya intern

    Wazima huku ndani maisha ya mtaani ni kupambana sana ndio, kwa hapa nilipofikia naomba hata itokee nafasi ya kupata intern iwe taesa ama wapi Kwa taifa nishafanya kila kitu chao kuanzia training mpaka interview. Naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia huko taesa tufahamiane
  2. Exformer

    Nafasi za ajira Graduate Trainee

    Ambao hatutumii Instagram vp?
  3. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    ahsante kwa kuniongezea hili mkuu
  4. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    nikitumia miracle thunder ina detect kabsaa na inasoma com port ila kuna baadhi ya tools inagoma kusoma com port
  5. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    shukran sana kaka nilikuwa naihofia sana ile code 10 lakin kumba haina shida sna ngoja nipakue upya mtk
  6. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    Kakq nimewaelewa sana has hapo kweny error Code 10 dah wamenisanua jambo kubwa mnoo aseee
  7. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    Vipi kwa qualicom drivers?? Nateseka sana Na je, window 10 inaweza kuwa tatiz?
  8. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    Natumia Hp elitebook 840 G3 i5 Window 10 pro updated
  9. Exformer

    Katerero ndo nini??

    Naaam pia kuelekea RUKOMA
  10. Exformer

    CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

    Habari zenu wakuu na wapenzi wa Tecnolojia. Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo hapo pichani, ninatumia program kadhaa za kufungua mitandao kwenye simu,Bypass FRP na kadhalika Changamoto kuu ni pale ninapohitaji kuweka drivers kama Qualicom na MTK Vcom Drivers huwa hazikai kabsa kwenye Pc...
  11. Exformer

    TAESA

    TAESA Unataka kuifahamu taesa, basi jua kwamba ni agency iliyo chini ya ofisi ya wazir mkuu inayotoa nafasi ya ajira kwa graduates wa muda mfupi na mrefu, unaweza pia pata internship ya mwaka mmoja. Unataka kujua zaidi Njoo pia tupashane moto akili juu ya hizi kero za hawa jamaa TAESA TAESA...
Back
Top Bottom