Kuna ambao hawajakupigia kura!!!
Kuna ambao hawapendi chama chako.
Kuna ambao wana historia mbaya na chama chako.
Uliposema #hapa kazi tu# kweli rais John Pombe Magufuri KAZI UNAYO.
Kwahiyo baada ya kuona kuhairisha znz inaweza ku cost tz ndo wamekuja na mpango wa kuwatumia watumishi wengine wa zec kufuta kauli ya mwenyekiti wao . The country is full of conspiracy
Naungana nawe kwakweli. Ni dhahiri kuwa haiwezi kumkabidhi mtu wa chama kingine nchi hii. Ni bora dunia nzima na wananchi wajue tuna chama kimoja tz ili tushirikiane kukuza nchi yetu kupitia kukipenda hiki chama kimoja.
Watz wengi wamechoka ili jina la chama tawala lakini hawana jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.