Recent content by EVIGT

  1. E

    JamiiForums Tanzania Anayepajua Mkundi mwisho Morogoro atupe ramani naskia Kuna Machimbo ya Dhahabu.

    Yani ulisikia mifuko 100 , inatoa point 2 inamana mali ni ndogo kuliko umarufu wake, ila pesa hapo ipo km utapeleka huduma, kafungue viosk vya pombe kali, mgahawa, kauze tutu, n.k
  2. E

    JamiiForums Tanzania Nani anamvumilia mwingine kwenye ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

    Sidhani kama kuna elimu ya ndoa ila ndoa inatoe elimu na kila mtu inampa elimu yake, sasa kila mtu atachagua anataka kujifunza nini ndani ya ndoa sio njee ya ndoa.
  3. E

    JamiiForums Tanzania Unashauri kipi kiongezwe na kipi kiondolewe kwenye mfumo wa JF?

    Waweke emoji ya ignore
  4. E

    JamiiForums Tanzania Anayepajua Mkundi mwisho Morogoro atupe ramani naskia Kuna Machimbo ya Dhahabu.

    Kuna mtu alisikika akisema viroba 100 kapata point 2, bado ujala, ujanywa soda, ujalala. Kazi kwako, dhahabu zipo aina nyingi mkuu,,
  5. E

    JamiiForums Tanzania Wengi Mnakosea Hapa!

    Dah kuna nyumba nilipanga yani kila nikila mzigo, wife anabeba mimba, ikabidi aweke kijiti tuu, ile nyumba ilizidi baraka,,
  6. E

    JamiiForums Tanzania Unaweza kumruhusu mke au mpenzi wako aende mbio za Marathon peke yake?

    Ndomana unaambiwa kama mkeo awez kujisimamia msimamei ukichoka kumsimamia achana nae mfanya mlinzi wa nyumba na watoto wako,
  7. E

    JamiiForums Tanzania Toboa Kisima upate maji ya uhakika

    Mimi siku zote nashauri tufanye survey ila mteja akiona gharama survey then risk atabeba mwenyewe,, underground water yanapatikana kwa kutoboa mwamba izo shallow water huwa zinadanganya mkuu,
  8. E

    JamiiForums Tanzania Toboa Kisima upate maji ya uhakika

    Kama hakuna report ya survey, inamaana aliyependekeza kina cha kuchimba anaweza kuwa mteja mwenyewe kulingana na taarifa za majrani wenzake waliochimba au mchimbaji contractor kulingana na uzoefu, so ikiwa kina alichopendekeza mteja kikafikiwa na maji hakuna then inabidi kurudi mezani kujadili...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kwanza wanatuchukuliaje hizi TV Station zilizopo nchini zipo kutupa burudani au ilimradi?

    DSTV naweza kuwatetea zipo latest movie tatizo labda unaweka kifurushi kisicho kidhi haja yako, Mwezi ujao weka Premium package
  10. E

    JamiiForums Tanzania KERO Askari wanakamata sana vijana wa Mji wa Ilula, Wilaya ya Kilolo, Mkoa wa Iringa, wanadai uzururaji

    Nilipata tenda kule sasa ile miezi kulikuwa na Ulanzi, tumekesha Site , mida ya saa 5 asubui tukaingia kupiga kaulanzi, mara washua hawa, sasa sisi hatuelewi kitu wenyeji wanatoka nduki huku na kule tumebaki na majagi yetu sisi wageni tumetulia tuuuu, Jamaa wakatupiga bangili, eti muda wa kazi...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Toboa Kisima upate maji ya uhakika

    Yapo mkuu, unatoa vumbi tupu. ##
  12. E

    JamiiForums Tanzania Toboa Kisima upate maji ya uhakika

    KWANINI VISIMA VINGI VINAKAUKA KIPINDI CHA KIANGAZI? ☀️🍂 Watu wengi wanachimba visima bila kufanya utafiti wa kina wa maji chini ya ardhi (Geological Survey). Matokeo yake, wakifika kiangazi, maji yanapungua au kukatika kabisa. Sisi tunatumia mitambo ya kisasa kupima na kubaini penye vyanzo...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Natafuta Minada ya Mbuzi na Kondoo kwenye mikoa hii

    Mkuu nikupe angalizo hapa, minada ipo mingi ila angalia unataka kuwapeleka wapi hao wanyama ili gharama zako za uendeshaji ziwe na tija, mfano kama unapeleka Mbuzi DSM alafu ukaenda kununua minada ya Geita hapo ni hasara, bora ucheki Mbuzi wa Morogoro, Pia jikite mkoa mmoja ili kujenga jina kwa...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    Hii kada sitaruhusu mwanangu haingie hii kada, ina stress shuleni hadi kazini, familia yetu imetoa 2 doctors, nimeshuhudia stress zao wakiwa medical school pale MUHAS hadi leo wapo kazin ila hawana furaha na hii kazi, kuna moja kaenda kusoma bachelor nyingine ya BAF nahic akipata kazi yake...
Back
Top Bottom