Recent content by EVIGT

  1. E

    Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Kama unaamni ndani yako basi inatosha tembea mbele ila Fanya jambo wakufukuze ili ukadai mafao yako. Ukikopa bank hutakuwa na uhuru wa kudai mafao.
  2. E

    Nauza vitabu vya hard copy

    "My Action is My Religion"Mahatma Gandhi Ukikutana na hardcopy hiyo nicheki
  3. E

    Hardest moment to be alive!

    Pole, ila ukiona mambo magumu yanakaa muda mrefu ujue unatakiwa ubadilike, Kuna mahala kwenye maisha yako panaitaji changes na wewe Bado unabishana na mabadilko, kubishana na hatima hakumwachi mtu salama, Pokea hayo magumu Kwa Mikono miwili kisha anza kubadilika, lazima Kuna mahala panaitajika...
  4. E

    Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

    Hilo mbona sio tatizo, piga kazi jifanye haukumbuki kituo na usipende kuongelea tena hiyo inshu hata humu JF, kifupi mtu akikuliza kuhusu inshu hiyo jibu kijasili sikumbuki kisha badilisha story, siku 7 tu watu washasahau.
  5. E

    Usiue huyu mdudu Kwa mikono yako

    Huyu mdudu anatabia ukikatupa kanarudi sasa usiombe ukamlalia akatumbuka huko kwenye godoro, utafurahi, ndomana watu wanakawahi kukaua tu..
  6. E

    Usiue huyu mdudu Kwa mikono yako

    Anaitwa Nairobi fly, Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters. Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata...
  7. E

    Tengeneza hadi 50,000/= kwa siku kwa kufanya biashara ya kuuza internet kupitia WiFi kwenye maeneo yenye mkusanyiko

    NyegereBOY kuna lile jagi la Airtel wanalipia 70k Kwa mwezi ni tofauti na hii system yako? au, nieleweshe hapa👇
  8. E

    NANI TUWEKEANE MAKUBALIANO YA KI-BIASHARA?

    Eneo la kulima unalo? Kama huna nikupangishe 3.5 acres hapo chalinze,
  9. E

    NANI TUWEKEANE MAKUBALIANO YA KI-BIASHARA?

    Unaweza kulima maembe naonaga wananunua pale kiwanda cha bahalesa, maendeo ya vikindu kama sikosei naonaga maloli yamepakia maembe yapo foleni,
  10. E

    Nanunua vyuma chakavu nipo Dodoma

    Mawasiliano
  11. E

    INAUZWA Huduma ya kusafisha kisima cha maji

    Habari JF members. Ikiwa unamiliki kisima cha borehole na kina dalili zifuatavyo basi tambua kuwa wakati wa kukisafisha umefika; 1. Kisima kilichopunguza uwezo wa kutoka maji. 2. Maji yamebadilika rangi,. 3. Maji yanatoka na matope au michanga Kwa wingi. 4. Maji yamebadilika Radha. 5 . Maji...
  12. E

    Biashara 10 zitakazofanya vizuri kwa mwaka 2025

    Naongezea kutakuwa na shida ya maji, watu wenye visima wanunue tank na toyo za kusambaza maji majumbani, soon mambo yata buuummm kwenye hii sector
  13. E

    Usiogope Unaweza kuanzisha Kituo cha Kujaza gesi (CNG) kwenye magari na bajaji

    Sasa hapa ndio inshu kupata kuona kituo kidogo ili kutathimini makadilio ya uwekezaji,
Back
Top Bottom