Yani ulisikia mifuko 100 , inatoa point 2 inamana mali ni ndogo kuliko umarufu wake, ila pesa hapo ipo km utapeleka huduma, kafungue viosk vya pombe kali, mgahawa, kauze tutu, n.k
Sidhani kama kuna elimu ya ndoa ila ndoa inatoe elimu na kila mtu inampa elimu yake, sasa kila mtu atachagua anataka kujifunza nini ndani ya ndoa sio njee ya ndoa.
Mimi siku zote nashauri tufanye survey ila mteja akiona gharama survey then risk atabeba mwenyewe,, underground water yanapatikana kwa kutoboa mwamba izo shallow water huwa zinadanganya mkuu,
Kama hakuna report ya survey, inamaana aliyependekeza kina cha kuchimba anaweza kuwa mteja mwenyewe kulingana na taarifa za majrani wenzake waliochimba au mchimbaji contractor kulingana na uzoefu, so ikiwa kina alichopendekeza mteja kikafikiwa na maji hakuna then inabidi kurudi mezani kujadili...
Nilipata tenda kule sasa ile miezi kulikuwa na Ulanzi,
tumekesha Site , mida ya saa 5 asubui tukaingia kupiga kaulanzi, mara washua hawa,
sasa sisi hatuelewi kitu wenyeji wanatoka nduki huku na kule tumebaki na majagi yetu sisi wageni tumetulia tuuuu,
Jamaa wakatupiga bangili, eti muda wa kazi...
KWANINI VISIMA VINGI VINAKAUKA KIPINDI CHA KIANGAZI? ☀️🍂
Watu wengi wanachimba visima bila kufanya utafiti wa kina wa maji chini ya ardhi (Geological Survey). Matokeo yake, wakifika kiangazi, maji yanapungua au kukatika kabisa.
Sisi tunatumia mitambo ya kisasa kupima na kubaini penye vyanzo...
Mkuu nikupe angalizo hapa, minada ipo mingi ila angalia unataka kuwapeleka wapi hao wanyama ili gharama zako za uendeshaji ziwe na tija, mfano kama unapeleka Mbuzi DSM alafu ukaenda kununua minada ya Geita hapo ni hasara, bora ucheki Mbuzi wa Morogoro,
Pia jikite mkoa mmoja ili kujenga jina kwa...
Hii kada sitaruhusu mwanangu haingie hii kada, ina stress shuleni hadi kazini, familia yetu imetoa 2 doctors, nimeshuhudia stress zao wakiwa medical school pale MUHAS hadi leo wapo kazin ila hawana furaha na hii kazi, kuna moja kaenda kusoma bachelor nyingine ya BAF nahic akipata kazi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.