Recent content by Evarister

  1. Evarister

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini: Mahakama ya Gauteng yaamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa inashikiliwa nchini humo kuachiwa. Hermanus Steyn akata rufaa

    Tumeshinda kesi ya kushikilia ndege kulipa deni hakuna taifa lisilodaiwa au mtu ila ndege yetu ilikamatwa kimakosa
  2. Evarister

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wabunge wa CHADEMA wanapoteza Ubunge kwa Uzembe? Huku Chama kikiwa na wanasheria wasomi?

    Akitoka hospitali akaanza kusema maneno kwa jirani atakuwa amepona na lazima halete taarifa kutoka kwa mganga navyoendelea kwa ripoti ya maandishi si mdomo maelezo yanaweza kuletwa na mke au jamaa wa karibu Kama anaumwa Sana.
  3. Evarister

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wabunge wa CHADEMA wanapoteza Ubunge kwa Uzembe? Huku Chama kikiwa na wanasheria wasomi?

    Jua demokrasi bila sheria ni wenda wazimu .Mimi naona mheshimiiwa spika hajakosea sisi sote hakuna asiyejua tatizo la Lissu lakini tatizo linatokea pale anapotoka hospitali na kuanza utalii kuishambulia serikali huku wananchi wake wakikosa uwakilishi.Lissu amekosa uzalendo wa taifa letu...
  4. Evarister

    JamiiForums Tanzania Mhandisi wa Majengo Chunya, Aswile Msika ajinyonga kwa suruali yake, inasemekana chanzo ni kesi ya rushwa inayomkabili

    Hakuomba ushauri nasaha kujiua siyo surulisho la kumaliza matatizo hii ulikuwa tuhuma yeye akajihukumu na kuacha familia yake kwenye matizo.Mtu unapokuwa na msongo wa mawazo lazima uombe ushauri kwa marafiki na jamaa.
  5. Evarister

    JamiiForums Tanzania Siamini macho yangu jinsi nilivyofanikiwa!

    Hakuna mafanikio yasiyo na chanzo labda unaficha siri ya mafanikio yako
Back
Top Bottom