Recent content by Evarist Ngowi

  1. E

    Ukimya wa Lissu kuhusu mapendekezo ya sheria za maliasili unamaanisha nini?

    Kama n mapendekezo alshatoa sku nyng, dharura hata hamna umakn ungekuwepo, tangia upnzan wameanza kuyasema yangefanyiwa kaz. Kama unaweled fuatilia usshabikie
  2. E

    Kwakweli asiyeuona uzalendo wa Rais Magufuli ni 'mchawi'

    Tangia jamaa kaingia kasaidia nn, Bado Hal ngumu ya maisha ipo palepale huduma zpo vlvl, Kutumbua watu CYO ktu, hvyo n vtu vya kawaida tu, teknc za kupga hela zpo pale pale, huduma kwa wananch zpo vlvl.
  3. E

    Wataalam wa lugha naomba msaada wenu.

    Kitendo cha mtu kwenda kuchota maji, je anaweza sema nafuata maji? Kiingereza chake ni " to follow water" au " to fetch water? Naomba msaada wenu kutoa utata
  4. E

    Tanzania hakuna walimu wa Sayansi

    Unapokua na uelewa mdogo huwez ona umaana walm wa sayansi, ushawah jiulza swali dogo Kama hili "madakri waliopo mahospital wamesoma sayans ipi, na wamefundshwa kwa principle zp? " fkria kmapana uckurukupe.
Back
Top Bottom