Husika na kichwa hapo juu, naomba kufahamu wapi nitapata connection kutoka kwa wachina viwandani au kuagizia china nipate kununua pikipiki kwao moja kwa moja bila kwenda madukani kwa bei ya rejareja au kwemda kwa mawakala wa mikoani au wilayani.
Nataka kufungua duka kwa ajili ya kuuza pikipiki...
Kuna mtu nilishangaa alikuwa analipwa mshahara Wa zaidi ya 800k kama take home lakini alivyopata chance ya kwenda CCP (degree) hakujiuliza mara mbili aliacha kazi akaemda kupiga kozi ya miezi 12.
Kila mtu ana malengo yake ktk maisha so tubaki kuangalia tu na kutokukata tamaa maishani. Sisi...
Miezi 12 utaona ni mingi ila Kwa mtu anayeenda kufanya usaili lazma ajue hili. Ni heri kupoteza mwaka mmoja Kwa kupata msosi, Hela ya kujikimu (100k), pa kulala Bure kuliko kukaa mtaani Bure bila kazi yyote.
Kumbuka baada ya shida hizi na huduma zote kupewa Bure, baada ya miezi 12 unaingia...
Degree walikuwa more than 1,000 kwenye usaili ila wamechukua 57 tu pekee.
I hope Kuna simu zitaita Kwa ambao hawajapata nafasi kwasasa (second selection kama mwaka Huu April & May 2023 walienda intake 2) Ili kukava nafasi za wale ambao hawatoripoti CCP au kukosa vigezo au afya etc.
Makamanda...
Duh mkuu jifunze kuappreciate kazi za watu, ume copy na kupaste kwangu.
Huu Uzi upo hapa hapa Jamiiforum ni ya Miaka 3 sasa imepita Nimeandika.
Uwe unaedit basi hata kidogo.
Leo ndio Ilikuwa siku ya mwisho kuripoti kambini CCP, so kuanzia kesho wataanza kuangalia mchakato Wa kujaza nafasi za ambao hawajafika CCP pamoja na reserve tajwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.