alikunywa mipombe yake mnatuletea kavamiwa we kiongoz gan anazurula usku na walinzi wake walkuwa wap kama so kujifanya ili wachafue serkal ya king of Africa Mh.Magufuli rais wa kipekee mwenye akili ya kujiongoza kama kiongoz na bado atawakera zaid watajarbu kumharbia awata weza magufuli king of...
ujakosea mkuu huku Kenya wakimuona mTZ hasa Nairobi wanaona kama umejitwisha gunia la kolona kichwani wanakuseti maafisa wa afya unashitukia wanakugongea wakupeleke karantini ata kama huna dalili ili mradi ni mtanzania tena wanakuja na police wakutosha
duh! 10k kwa sku mkuu ata waliyo ajiriwa serikalin ni wachache wanao ipata kwa siku 1k tu jau kuipata labda uwe na biashara kubwa tena yenye mtaj mkubwa ila so kwa mishikaki unayo zungumzia ww
Mkuu we ndo mtanzania OG kama Mimi nawashanga baadhi ya watu wanasapoti maoni ya nchi jiran na kumponda rais wetu kutokana na umahiri alio nao na msmamo wa mtanzania og watanzania tushirikiane kwa pamoja kama taifa huru tuache mipasho isiyo na msingi nampenda Rais wangu kwa kuwa kiongoz bora...
Ndugulile hana utalaam wowote ndio maana alipewa unaibu na ndo maana katenguliwa afanyi kazi iliyo mpeleka kaz kupiga majungu kuhusu maamuzi ya Magu king of Africa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.