Recent content by evance simon

  1. E

    Zawadi ya 5000 kwa mshindi.

    Uwizi mtupu! Kitendawili kwa Kiswaz af majibu kwa Kiingereza!!?? Which is which?
  2. E

    Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

    Wanawachanganya tu wananchi na lazima 2jiulize ni kwanini hawa viongoz we2 wanafanya haya?
  3. E

    Posho Bungeni: Zitto, Lema katika vita ya maneno

    "....UZALENDO SI UMASIKINI, Wabunge wanapaswa kulipwa vizuri ili waweze kupigania maslahi ya watumishi wengine na kuwa2mikia wananchi...." Mimi hoja yangu ni kuwa pia UZALENDO huohuo SI UTAJIRI! Anayefanya kazi na ale ila asiyefanya kazi asile isipokuwa wale wote wasioweza kufanya kazi kwa7bu ya...
  4. E

    JK awajibu wapinzani kuhusu Muswada wa katiba mpya; Adai ni waongo na wapotoshaji

    Tunajua fika kwamba kuwa rais wa nchi haimaanishi kwamba kila ki2 unafanya mwenyewe pasi ushauri wa jopo lako kwa ajili ya kuinusuru nchi. Hivyo basi ni jukumu kubwa linalohitaji hekima ya hali ya juu katika kufikiri kwa kina na kuweza kupata ufumbuzi. Swala si kusaini tu bali nini inasainiwa...
Back
Top Bottom