Kila mtu na malengo yake. Kwani physics na chemistry inaugumu gani. Sina shaka na uwezo wa Chegere sababu hata ukimpeleka Muhimbili leo aanze kusoma udokta atawabuluza wote wanaosoma pcb. Na sio yeye tu. Hata mm mwenyewe muda huu ukiniambia niende Muhimbili au coet pale UDSM nianze degree...
Jamaa kweli mzuri. Ila tumpe heshima yule mwamba aliyekua TO Tangu darasa la saba hadi chuo UDSM. Mm binafsi nilishudia majibu ya mtihani wake wa form 2 niseme tu jamaa sio anaakili bali hata kupangilia kazi anajua. Yani mwanafunzi anapanga majibu kuliko hata solution ilivyoandaliwa na baraza...
Daaaah BAK umenikumbusha machungu. Siku hiyo nilikua naenda zangu kupiga cord 2 pure mwenge kwa Kim. Machungu ya ya habari hiyo yalinifanya nibaki nyumbani tu
We jamaa unaonea huruma mwanamke. Subiri uone mkeo watakavyomfanya. Mm kila kitu kipo ila nilichoka kumkuta manzi wangu anaomba teni kwa danga lake. Siku hizi sina huruma na mwanamke. Akijaa ni moto tu ila kumbuka kutumia kinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.