Recent content by Euroleague

  1. Euroleague

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Kila mtu na malengo yake. Kwani physics na chemistry inaugumu gani. Sina shaka na uwezo wa Chegere sababu hata ukimpeleka Muhimbili leo aanze kusoma udokta atawabuluza wote wanaosoma pcb. Na sio yeye tu. Hata mm mwenyewe muda huu ukiniambia niende Muhimbili au coet pale UDSM nianze degree...
  2. Euroleague

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Jamaa kweli mzuri. Ila tumpe heshima yule mwamba aliyekua TO Tangu darasa la saba hadi chuo UDSM. Mm binafsi nilishudia majibu ya mtihani wake wa form 2 niseme tu jamaa sio anaakili bali hata kupangilia kazi anajua. Yani mwanafunzi anapanga majibu kuliko hata solution ilivyoandaliwa na baraza...
  3. Euroleague

    Nikiwa Rais nitabadilisha jina la fedha kutoka Shillingi na kuitwa Tanzanite

    Mm ikitokea hivyo. Nairudisha TANGANYIKA
  4. Euroleague

    Je kuna uasi unanukia chamani?

    Hamna uasi wowote. Wananchi walivyo waoga ndio chamani wapo hivyo hivyo.
  5. Euroleague

    GE2025 CHADEMA kususia Uchaguzi wametuumiza wengi

    Wee jamaa acha kufananisha ukoloni
  6. Euroleague

    Ni siku ya 17 leo Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC hajaonekana? Wewe unafikiri yuko wapi? Nitakupa Jibu hapa hapa 👇

    Bongo usijifanye shujaa kiherehere. Unapotea na jamii haina muda na wewe.
  7. Euroleague

    TANZIA Lucky Dube: Your Reaction

    Daaaah BAK umenikumbusha machungu. Siku hiyo nilikua naenda zangu kupiga cord 2 pure mwenge kwa Kim. Machungu ya ya habari hiyo yalinifanya nibaki nyumbani tu
  8. Euroleague

    Nadhani Monique Sekka ndio the best African female musician who ever lived

    Mm namba moja ni Angelique Kidjo. Mtu mbad sana yule mama.
  9. Euroleague

    PICHA: Hivi ndivyo Rais Samia atakavyokuwa akipaa na kuteka anga la Tanzania kwa Helikopta maridadi na yenye mvuto

    Wasije wakafanya utabiri wa Shekh Yahya utimie. Machopa haya kila nikiyaona namkumbuka mkuu wa majeshi Kenya, Filikunjombe, Mamba, Rais wa Iran.
  10. Euroleague

    Huyu binti amenisaidia ku-prove kuwa ndoa sasa hivi ni maegesho. Mabinti jaribu ku-appreciate juhudi za wenza wenu

    We jamaa unaonea huruma mwanamke. Subiri uone mkeo watakavyomfanya. Mm kila kitu kipo ila nilichoka kumkuta manzi wangu anaomba teni kwa danga lake. Siku hizi sina huruma na mwanamke. Akijaa ni moto tu ila kumbuka kutumia kinga.
Back
Top Bottom