Shida kubwa ni social culture (ways of thinking).
Ndipo hapo Magufuli akueleweka
Someone has to embark on that battle on reshaping the social thinking.
Ain’t no one, nor the theories say it’s an easy task.
But someone has to do that job, ooh my god upuuzi wa Wa-Tanzania is beyond me.
Kiongozi sibishii habari zako za ndani; there is no way binanfi nilikuwa najua/wala ningeweza tabiri kuwa hapo halipo.
If anything sikujua hata jamaa alikuwa ni senior civil servant, mara ya kwanza namuona (si unajuwa hao jamaa ni watu wa siri).
Tulikutana kwenye majibizano ambayo akupenda...
JF ni first to know.
Kabla ya Maria Sarungi sijui Mange Kimambi.
Hakina sie tuliwaambia Abdul Hafidh best wake ni Selemani Mombo.
Ya kuwa Abdul anaongoza usalama. It’s there search it.
Let alone best wa Abdul mtoto wa mama Tabia afisa usalama (ndio unaongoza) utekaji.
Mimi ndio niliowapa akili ya kumtungia Lissu hao mataahira serikakilini ku-exploit angle ya kesi ya uhaini juu urupokaji wa wake.
Na mimi pia nina uwezo wa kuizima hiyo kesi (believe it or not).
The rest ni upuuzi tu kutoka kichwani kwako; ain’t nobody cares.
Wabongo tunashida sana.
Nikikwambia mada ni ujinga mtupu, you will take it personally.
As far as you are concerned uitikio wa maafisa wa vyombo vya usalama kwenda kutoa ushahidi ndio uzito wa ushahidi wa kes.
This is narrative you are selling pertaining the gravity of the case.
Watu...
Sasa nenda katafute mijadala ya rasimu ya Warioba (wanayoisifia), huko kulikuwa na jamaa anaitwa Eric Cartman ndio pekee alikuwa anawaambia huo ndio muda wa kupunguza madaraka wa raisi.
Chadema emphasis yao ilikuwa serikari ya majimbo, jaji Warioba hakuwa anataka hata kusikia swala la kupunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.