Iwe siku zake zilifika alizopewa na Mungu au kuna foul play ‘Lukuvi’ mwishoni alikuwa kiongozi wa hovyo.
Sito sahau siku bunge lilipomtengea Mpina wasaa wa kumnanga kisa tu anatetea maslahi ya nchi dhidi ya ubadhirifu wa Bashe kwenye sakata la sukari.
Lukuvi siku hiyo alikaa karibu na Bashe...
Anaanzisha vita kwa ushawishi wa ‘Jared Kushner’ na ‘Steve Witkoff’ watu ambao hawana uelewa wa western interests in the M.E region.
Baada ya hapo unatuma watu hao hao wasiokuwa na background training ya sensitive negotiation, kwenda kujaribu kuongea na Iran.
Trump ame-expose major weaknesses...
Cha msingi ni kwamba kila mtu ashinde match zake kwenye maisha/harakati/siasa.
Swala la morality au ethics ambazo hazivunji sheria ni utashi wa mtu binafsi.
Kibaya zaidi ni kuwaingiza watu katika ugomvi usiowahusu, mama wa watu alikuwa keshajiandaa kurudi wizarani kama mtumishi. Mara paap...
Hakuna nchi duniani utadumu kwenye nafasi ya uwaziri kwa kuwa na mtazamo tofauti na boss.
Tusilazimishe watu kubeba agenda za wengine.
Tarehe 29 November watanzania tungetoka kwa wingi, yasingetokea yaliyotokea.
Kila mtu anajali maslahi yake huo ndio ukweli, sasa kwanini mlazimishe wengine...
Samia anawambea wa kumwambia kila mtu alie karibu yake na wasaidizi wake wote mawasiliano yao yanadukuliwa.
Samia anajua nani tishio kwa uongozi wake, wengi ni wenye influence ndani ya CCM (uwezo wa ku-mobilise support). Dorothy uwezo huo hana.
Baraza la Samia waziri pekee wa Merit ni Dorothy...
https://www.jamiiforums.com/threads/tibaijuka-umekosa-haya-mahakama-ni-chombo-huru-na-muhimu-omba-kadi-ya-chadema-lakini-sio-kuhamasisha-vurugu.2426558/
Mwenzako, Irene amekuwahi na mada mliyoandaliwa au mambo ya bots 🤖
I get it where you are coming from, how you gonna police; people bedrooms (hilo uwezi kama ulivyosema).
Shida yako/serikali not individuals isipokuwa normalisation of immorality in public space and I am on your side.
Lakini kama waliotangulia kukushauri hili swala linaanza na enforcement of...
Kinachoendelea TikTok kwakweli kuna sababu ya serikali kufanya kitu.
Ila sidhani kama hiyo agenda inawezekana kama wengine waliotangulia kusema bila ya sheria.
Mind you Tanzania aina shortage of public decency laws, (zipo tele) hila hakuna reinforcement.
Whatever the mission bila ya joint...
Samia inabidi awaulize wanaomshikilia Lissu lengo ni nini hasa; kama uchaguzi umeshapita.
Hata kama hana control na nchi, lakini kuna mambo akili ya kawaida tu inaona huu wazimu, kama ili la Lissu.
Sidhani kama wanaomshikilia Lissu hata wanaelawa ‘end game’ zaidi ya kumuweka tu jela.
Ukiona...
From ‘broadsheet’ to a ‘tabloid’ within a week, now that’s a quick turnaround.
Lakini hawa jamaa aisee acha tu. Magazeti pia yanawajibu ya kuelimisha jamii. Kila gazeti likijikita kwenye uchawa huko si ndio kupumbaza jamii.
‘Axis of adults’ awamu yake ya kwanza ilijaa qualified advisors japo wengi hawakudumu ila waliweza mdhibiti kila mtu kwa muda wake.
Baadhi yao wanavitabu au interviews za experience yao ya kufanya nae kazi, the list includes; Jim Mattis, John Bolton, Mike Pompeo, Joseph Dunford, Nikki Haley and...
https://www.aljazeera.com/amp/features/2026/3/10/the-fourth-successor-how-iran-planned-to-fight-a-long-war-with-the-us-and-israel
Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu; mfumo wa uongozi wa Iran umejipanga kwa vita.
Kila senior government post ina four immediate successors; wote wanajua namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.