Recent content by Eugene Krabs

  1. E

    JamiiForums Tanzania Watu kufurahia kifo cha Mume wa rais wao kinaleta taswira gani kwenye taifa?

    Shida kubwa ni social culture (ways of thinking). Ndipo hapo Magufuli akueleweka Someone has to embark on that battle on reshaping the social thinking. Ain’t no one, nor the theories say it’s an easy task. But someone has to do that job, ooh my god upuuzi wa Wa-Tanzania is beyond me.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya facts kuhusu nyoka

    Hapa nyoka au bahari, mbona kama uzushi vile.
  3. E

    JamiiForums Tanzania GE2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

    Kiongozi sibishii habari zako za ndani; there is no way binanfi nilikuwa najua/wala ningeweza tabiri kuwa hapo halipo. If anything sikujua hata jamaa alikuwa ni senior civil servant, mara ya kwanza namuona (si unajuwa hao jamaa ni watu wa siri). Tulikutana kwenye majibizano ambayo akupenda...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    He tired of the comparison If anything I am clever 😀😀😀 if you have to distinguish and drinks more.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Kuwatwanga hawa mataahira so called wanasheria wa serikali ni dakika moja tu. As yet Lissu ni kama anatumia tofali kuua sisimizi.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Mimi ndio nilie itunga hii kesi Na as yet sioni ushahidi wa kukadhia shutuma husika. Kilichopo ni madoido tu, lakini hakuna kesi.
  7. E

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Hakuna case mpaka sasa zaidi ya ujinga mtupu. Free Tundu Lissu
  8. E

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    What has this nonsense (witnesses) got to with disproving the ‘men’s rea’ and ‘actus reus’ of the case. It’s just pathetic
  9. E

    JamiiForums Tanzania GE2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

    JF ni first to know. Kabla ya Maria Sarungi sijui Mange Kimambi. Hakina sie tuliwaambia Abdul Hafidh best wake ni Selemani Mombo. Ya kuwa Abdul anaongoza usalama. It’s there search it. Let alone best wa Abdul mtoto wa mama Tabia afisa usalama (ndio unaongoza) utekaji.
  10. E

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Mimi ndio niliowapa akili ya kumtungia Lissu hao mataahira serikakilini ku-exploit angle ya kesi ya uhaini juu urupokaji wa wake. Na mimi pia nina uwezo wa kuizima hiyo kesi (believe it or not). The rest ni upuuzi tu kutoka kichwani kwako; ain’t nobody cares.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Wabongo tunashida sana. Nikikwambia mada ni ujinga mtupu, you will take it personally. As far as you are concerned uitikio wa maafisa wa vyombo vya usalama kwenda kutoa ushahidi ndio uzito wa ushahidi wa kes. This is narrative you are selling pertaining the gravity of the case. Watu...
  12. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Sasa nenda katafute mijadala ya rasimu ya Warioba (wanayoisifia), huko kulikuwa na jamaa anaitwa Eric Cartman ndio pekee alikuwa anawaambia huo ndio muda wa kupunguza madaraka wa raisi. Chadema emphasis yao ilikuwa serikari ya majimbo, jaji Warioba hakuwa anataka hata kusikia swala la kupunguza...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Wanaotaka katiba mpya sio wapuuzi. Sio kwa faida yao; wameshaona madhara ya madaraka ya raisi.
  14. E

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    There will be signs
Back
Top Bottom