Si ajabu usiku akilala anaota CDM imechukua nchi na kukitia kitumbua chake mchanga. Akiamka asubuhi anatafuta sababu ya kuwaadhibu kwa kutishia ajira yake ndotoni.
Aijawahi tokea msajili kandamizi kama huyu.
Biashara ni science wauzaji mkishakuwa wengi kushinda wateja kwa kanuni za supply and demand. Kinachofuata bei zitashuka na kuwaondoa wale ambao costs zao ni kubwa kuliko faida.
Na hata wao watakaobaki kuna form of differentiation inahitajika for them to standout against competition. It’s not...
High rate of startup failure due to lack of planning that is the common consensus kwa nchi zote zenye kutunza takwimu. Hapa naongelea nchi ambazo kuna government grants luluki zinazo encourage entrepreneurship na kuondoa ugumu wa banks.
Huko na kwenyewe research itakuja hivyo hivyo many...
Where is the correlation ya kufa kwa biashara kutokana na ukosefu wa mitaji. Vinginevyo survival rate ya new startup na small business nchi zote duniani karibu sawa.
Roughly 20% ya biashara mpya ufa ndani ya mwaka mmoja na baada ya miaka mitano 40% ya biashara ndio uwa zinabaki (hata kwenye...
Ukimsikiliza unapata picha huko nyuma nafasi za senior civil servants zilikuwa za merit sana. Unaona kabisa huyu mstaafu anaielewa hiyo nafasi na kapitia appropriate succession planning.
Uharibifu wa kupachika watu umeanza na Magufuli kwa kiasi kidogo, Samia ndio kabomoa kabisa mfumo mzima...
Bila ya kumsahau Kizigha na Hamza Joharo katika “kitchen cabinet’ yake. Ni wao pekee ndio wanaelewa mantiki ya kun’gan’gania hii kesi ya magumashi baada ya uchaguzi kuisha.
Ingependeza haya majangili yangepata sanction ya namna moja au nyingine.
Halikadhalika uhalisia ni kwamba kwenye nchi zilizoendelea hasa US na Europe; bills ambazo zinaletwa na members chances za kuwa sheria uwa ni ndogo sana (but not impossible).
Kwa ujinga hii mijamaa ni mijinga achilia...
Nilichojifunza you have a fixated way of thinking in arguments hata pale ambapo uelewa wa topic husika ni finyu.
Kwa muelewa wa topic husika I have given you so many opportunities to prove your point, hata unaelewa basi unapooneshwa technically hujui.
Kwasababu nawajua ndio maana huko nyuma...
You are just stupid hata hujui unachoongea tena. Kitu gani kilichokuzuia kutafuta ya bank moja ye China ku-justify point yako ya ukubwa wa banks za China.
Maana yake ni kwamba hujui even how company comparison performance is conducted.
Kuwa na asset kubwa doesn’t mean you are the best...
By now ulitakiwa kwenda online kutafuta bank statement ya bank moja ya choice yako kutoka China tuijadili ubora wake.
Nimekupa hizo hint mara kadhaa, uelewi somo unajibu ujinga tu.
How can you discuss banking based on asset data only without understanding its sources and other various factors...
Maswali niliyokuuliza majibu yake yanataka financial statement.
Sio upuuzi ulioandika; I even give you a hint on how to argue on this matter.
Consider me a fool if it suits you; sina muda wa kupoteza na mtu ambae obviously hajui technicalities ya mambo anayolazimisha.
Una audience yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.