Recent content by Eugene Krabs

  1. E

    Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    Iwe siku zake zilifika alizopewa na Mungu au kuna foul play ‘Lukuvi’ mwishoni alikuwa kiongozi wa hovyo. Sito sahau siku bunge lilipomtengea Mpina wasaa wa kumnanga kisa tu anatetea maslahi ya nchi dhidi ya ubadhirifu wa Bashe kwenye sakata la sukari. Lukuvi siku hiyo alikaa karibu na Bashe...
  2. E

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    Anaanzisha vita kwa ushawishi wa ‘Jared Kushner’ na ‘Steve Witkoff’ watu ambao hawana uelewa wa western interests in the M.E region. Baada ya hapo unatuma watu hao hao wasiokuwa na background training ya sensitive negotiation, kwenda kujaribu kuongea na Iran. Trump ame-expose major weaknesses...
  3. E

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Cha msingi ni kwamba kila mtu ashinde match zake kwenye maisha/harakati/siasa. Swala la morality au ethics ambazo hazivunji sheria ni utashi wa mtu binafsi. Kibaya zaidi ni kuwaingiza watu katika ugomvi usiowahusu, mama wa watu alikuwa keshajiandaa kurudi wizarani kama mtumishi. Mara paap...
  4. E

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Serikali zote duniani hakuna waziri mwenye mtazamo tofauti na boss, kama anania ya kulinda ulaji wake na yeye.
  5. E

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Hakuna nchi duniani utadumu kwenye nafasi ya uwaziri kwa kuwa na mtazamo tofauti na boss. Tusilazimishe watu kubeba agenda za wengine. Tarehe 29 November watanzania tungetoka kwa wingi, yasingetokea yaliyotokea. Kila mtu anajali maslahi yake huo ndio ukweli, sasa kwanini mlazimishe wengine...
  6. E

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Samia anawambea wa kumwambia kila mtu alie karibu yake na wasaidizi wake wote mawasiliano yao yanadukuliwa. Samia anajua nani tishio kwa uongozi wake, wengi ni wenye influence ndani ya CCM (uwezo wa ku-mobilise support). Dorothy uwezo huo hana. Baraza la Samia waziri pekee wa Merit ni Dorothy...
  7. E

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    https://www.jamiiforums.com/threads/tibaijuka-umekosa-haya-mahakama-ni-chombo-huru-na-muhimu-omba-kadi-ya-chadema-lakini-sio-kuhamasisha-vurugu.2426558/ Mwenzako, Irene amekuwahi na mada mliyoandaliwa au mambo ya bots 🤖
  8. E

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    OK nimekuelewa my bad kukurupuka bila ya kupata background info on the policy and agenda.
  9. E

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    I get it where you are coming from, how you gonna police; people bedrooms (hilo uwezi kama ulivyosema). Shida yako/serikali not individuals isipokuwa normalisation of immorality in public space and I am on your side. Lakini kama waliotangulia kukushauri hili swala linaanza na enforcement of...
  10. E

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Kinachoendelea TikTok kwakweli kuna sababu ya serikali kufanya kitu. Ila sidhani kama hiyo agenda inawezekana kama wengine waliotangulia kusema bila ya sheria. Mind you Tanzania aina shortage of public decency laws, (zipo tele) hila hakuna reinforcement. Whatever the mission bila ya joint...
  11. E

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Samia inabidi awaulize wanaomshikilia Lissu lengo ni nini hasa; kama uchaguzi umeshapita. Hata kama hana control na nchi, lakini kuna mambo akili ya kawaida tu inaona huu wazimu, kama ili la Lissu. Sidhani kama wanaomshikilia Lissu hata wanaelawa ‘end game’ zaidi ya kumuweka tu jela. Ukiona...
  12. E

    Kifo cha Gazeti la Mwananchi kilitarajiwa baada lakini siyo ghafla kiasi hiki

    From ‘broadsheet’ to a ‘tabloid’ within a week, now that’s a quick turnaround. Lakini hawa jamaa aisee acha tu. Magazeti pia yanawajibu ya kuelimisha jamii. Kila gazeti likijikita kwenye uchawa huko si ndio kupumbaza jamii.
  13. E

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    ‘Axis of adults’ awamu yake ya kwanza ilijaa qualified advisors japo wengi hawakudumu ila waliweza mdhibiti kila mtu kwa muda wake. Baadhi yao wanavitabu au interviews za experience yao ya kufanya nae kazi, the list includes; Jim Mattis, John Bolton, Mike Pompeo, Joseph Dunford, Nikki Haley and...
  14. E

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    https://www.aljazeera.com/amp/features/2026/3/10/the-fourth-successor-how-iran-planned-to-fight-a-long-war-with-the-us-and-israel Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu; mfumo wa uongozi wa Iran umejipanga kwa vita. Kila senior government post ina four immediate successors; wote wanajua namna ya...
Back
Top Bottom