Recent content by Eugene Krabs

  1. E

    JamiiForums Tanzania Messi aendelee kupewa Ballon d'Or mpaka pale atakapoamua kuacha kucheza soka ni aibu kumpa mtu kama Dembele ile tuzo

    Shida ya uingereza ni ustaarabu. Uhalisia ni kwamba kwa football pundits na mashabiki Hakuna mtu ambae alikuwa aulizi kwanini Saka aanzi. Shida ya waingereza ni ustaarabu, Hilo ndio lilikuwa tatizo la ‘Kobbie Mainoo’ na ‘Ruben Amorim’ kwanini huyo dogo achezi. Waingereza waache kuchukua hawa...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Messi aendelee kupewa Ballon d'Or mpaka pale atakapoamua kuacha kucheza soka ni aibu kumpa mtu kama Dembele ile tuzo

    Ustaarabu wa uingereza inatakiwa kutumika kama ‘unit of measure’ ya uvumilivu wa ujinga. Kwa sababu football pundits wote nje ya ustaarabu watakwambia ‘Saka’ ni starter na ‘Rashford’ anastahili dakika kadhaa katika match. Ustaarabu umewazidi waingereza, pathetic
  3. E

    JamiiForums Tanzania Kila zama na nyakati zake

    ‘Dar Es Salaam’ inawenyewe ni kuelewa tuu, kumbe humu JF kuna genge la mataahira kweli wenye uelewa mdogo. Best wa Abdul ni mtoto wa ‘mama Tabia’ jina lake kapuni; shida yenu moja. Kwanza mna akili za kijinga sana na mko tayari kuumiza watu kwa sababu rahisi sana. Ndugu mimi nawatukana tu CCM...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Trust me asilimia kubwa ya watoto wa Dar siasa na wao ni ‘paka na maji’. Huwezi kuwa mtoto wa mjini ukashinda JF hii ni lifestyle nyingine. But then haya sio mambo ya mimi kubishana na wewe; mimi nani nikubishie identity yako. Watoto wa Dar wanajiita watoto wa kijiweni: wanajuana na kujua...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Usilazimishe JF ya 2026 iendelee JF2006 kila kizazi na nyakati zake

    Acha tu, Tanzania tumefanya mambo rahisi mpaka basi. Hao wapuuzi I don’t have the time and energy to know their names or see their images. Wenyewe wanajiona shughuli yao clandestine kweli; whilst ain’t nobody got time to deal with fools. Ningekuwa na shida ya majina yao na sura zao sasa hivi...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Hii tabia ya waluga-luga kujifanya wanaujua mji binafsi inanikera. Haya ndio mambo yanayomkera Haji Manara
  7. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Dar-Es-Salaam ni ka mji kadogo Elewa hilo Wenyewe wanajuana
  8. E

    JamiiForums Tanzania Usilazimishe JF ya 2026 iendelee JF2006 kila kizazi na nyakati zake

    Kuna waluga-luga fulani kutoka familia maskini ambao: Abdul anawatumia hawana morals. Ogopa kundi la hawa wajinga Kwa sababu wanakibali cha kuuwa basi kila mtu kwao fala. JF hawa mataahira wanaongozwa na yule taahira anaejiita ‘Smart’ whatever na kila mara ana mquote malaya wake ‘Mahadow’...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Usilazimishe JF ya 2026 iendelee JF2006 kila kizazi na nyakati zake

    Tatizo la hawa watoto wa sasa wanajiona wanajuaa 😀😀😀 Ilihali ni wapumbavu kweli-kweli. The scary part ni kwamba baadhi yao chini ya serikali ya Samia have been bestowed with the power to kill. Basi wanajiona miungu watu kweli kweli na vimalaya vyao vya chit-chat.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Watoto wa Dar-Es-Salaam waliobaki wanajiita watoto wa kitaa. Hakuna wasichokijua hapo watoto wa kitaa. Waruga-ruga mnatumia nguvu sana mjini.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Soma mada, Dar Es Salaam; sio ya waluga-luga.
  12. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Mji una wenyewe, elewa hilo na wewe sio mwenyeji.
  13. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Hao watu wanaweza kukupa connection; mpaka ya kwenda kukutana na kishimba gerezani halipo. Unamjua hata huyo Kishimba.
  14. E

    JamiiForums Tanzania Ni hivi: Kwa waluga-luga, Dar-Es-Salaam ni kamji kadogo sana!

    Steve Nyerere, Junaithar, Ummy Kibassa, DJ Bony Love, Abdallah Dhiyebi…. Mji una wenyewe
Back
Top Bottom