Recent content by EUfundedtroll

  1. E

    Modesta Lilian Mahiga

    kwa nini akina Mange hawawi kama huyu sister?
  2. E

    Modesta Lilian Mahiga

    wanawake kama hawa ndio walitakiwa kupewa nafasi
  3. E

    Modesta Lilian Mahiga

    This woman is my ideal woman toka asubuhi natazama video zake lakini wanawake kama hawa sijajua kwa nini huyu hakuingia kwenye public service kama baba yake
  4. E

    Modesta Lilian Mahiga

    Huyu sister namzimia kichizi ( I can also confess I'm secretly in love with her). Kaenda shule na ana akili na hana mambo kama ya hawa dada zetu wengine wa mjini ktaka u sloopu tuuu. I wish tungekuwa na akina dada kama hawa wengi hapa bongo I just hope anawa inspire akina dada wengine...
  5. E

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Duh umenipa moyo kichizi maana idea ni kutoa kijigorofa kiduchu kama hiki....mbele ni park gari walau 2 lakini muhim nyuma niwe na uwanja walau wa kuanika nguo na kufanya BBQ Nakucheki kwenye PM sasa hivi
  6. E

    RATCO Express-Usipime

    hawa na Scandinavia vipi?
  7. E

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Mhh kaka umeoa ukubwa niliokutajia? eneo hili hapa ni kilimita 7 au 8 toka Ferry
  8. E

    Mafisadi tuweke wapi pesa?

    naona watu wanapeanza namna ya kufanya biashara, kujenga, biashara ya kilimo, mayayi, kuku, uchawi na mengineyo Mimi nataka kujua namna rahisi ya kuhamisha pesa nje ya nchi baada ya kupiga dili. Naamini wadosi wengi hapa Bongo ndio zao lakini sijajua wanatumia technique zipi zaidi ya bureau de...
  9. E

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Jamani mimi nina kiwanja Kigamboni maeneo ya Kisota si kikubwa na najuta kwa nini nilikinunua miaka 5 iliyopita kina ukubwa wa SQM 610 nishaurini naweza kujenganini? Maana nilidhani bora kujenga walau kijigorofa kwenda juu kama gorofa mbili hivi maana chini naona space ndogo. Muhimu kwangu ni...
  10. E

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Hivi, kuna umuhimu gani wa kuwa na akaunti ya Paypall? na je tofauti yao na benki ni nini? je unaweza kufanya international transfer kupitia paypall ? au wana restrictions
  11. E

    Biashara ya Apps

    Hivi hizi apps za kwenye simu kama za mabenki etc Zina cost kiasi gani kutengeneza na je kampuni za nje ya Tanzania zinaweza kutengeneza application kwa kiasi gani? inalipa?
  12. E

    Malipo baada ya kununua Shares

    Hivi kwa mfano nimenunua shares za kampuni kama Apple au Microsoft au GE, Leo jumatatu, na nimespend dola 10,000 Kisha baada ya mwezi thamani zimepanda sana na value yake ni dola 100,000 Je naweza ku cash out au haya makampuni yanalipa shares kila baada ya miezi 6 etc Je kwa Tanzania...
Back
Top Bottom