This woman is my ideal woman
toka asubuhi natazama video zake
lakini wanawake kama hawa sijajua kwa nini huyu hakuingia kwenye public service kama baba yake
Huyu sister namzimia kichizi ( I can also confess I'm secretly in love with her).
Kaenda shule na ana akili na hana mambo kama ya hawa dada zetu wengine wa mjini ktaka u sloopu tuuu.
I wish tungekuwa na akina dada kama hawa wengi hapa bongo
I just hope anawa inspire akina dada wengine...
Duh
umenipa moyo kichizi
maana idea ni kutoa kijigorofa kiduchu kama hiki....mbele ni park gari walau 2 lakini muhim nyuma niwe na uwanja walau wa kuanika nguo na kufanya BBQ
Nakucheki kwenye PM sasa hivi
naona watu wanapeanza namna ya kufanya biashara, kujenga, biashara ya kilimo, mayayi, kuku, uchawi na mengineyo
Mimi nataka kujua namna rahisi ya kuhamisha pesa nje ya nchi baada ya kupiga dili.
Naamini wadosi wengi hapa Bongo ndio zao lakini sijajua wanatumia technique zipi zaidi ya bureau de...
Jamani mimi nina kiwanja Kigamboni maeneo ya Kisota si kikubwa na najuta kwa nini nilikinunua miaka 5 iliyopita kina ukubwa wa SQM 610
nishaurini naweza kujenganini? Maana nilidhani bora kujenga walau kijigorofa kwenda juu kama gorofa mbili hivi maana chini naona space ndogo.
Muhimu kwangu ni...
Hivi, kuna umuhimu gani wa kuwa na akaunti ya Paypall? na je tofauti yao na benki ni nini?
je unaweza kufanya international transfer kupitia paypall ? au wana restrictions
Hivi hizi apps za kwenye simu kama za mabenki etc
Zina cost kiasi gani kutengeneza na je kampuni za nje ya Tanzania zinaweza kutengeneza application kwa kiasi gani?
inalipa?
Hivi kwa mfano nimenunua shares za kampuni kama Apple au Microsoft au GE, Leo jumatatu, na nimespend dola 10,000
Kisha baada ya mwezi thamani zimepanda sana na value yake ni dola 100,000
Je naweza ku cash out au haya makampuni yanalipa shares kila baada ya miezi 6 etc
Je kwa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.