TUNDU LISU-Huyu alipaza sauti kubwa ya furaha na shangwe, akiwaaminisha uma kuwa Tanzania itakuwa salama zaidi bila Magufuli. Tundu Lisu aliahidi Tanzania itashitakiwa MIGA baada ya kudai haki zake za madini. Kilichompata ni kufungwa jela kwa miezi 11 hadi sasa na Tanzania hakushitakiwa MIGA...
Rais Samia na mwanao andaeni mlio
Rais Samia na mwanao Abdul andaeni mlio mtakaokuwa mkilia pale muda wa kukandwa kwenu utakapofika kwa madudu mnayoyafanya mkiwa Ikulu.
1. Kisiasa
Kisiasa Rais Samia hukubaliki ndani ya CCM na nje CCM mbaya zaidi haukubaliki pia ndani ya nchi na nje ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.