Recent content by Etwege

  1. Etwege

    Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    TUNDU LISU-Huyu alipaza sauti kubwa ya furaha na shangwe, akiwaaminisha uma kuwa Tanzania itakuwa salama zaidi bila Magufuli. Tundu Lisu aliahidi Tanzania itashitakiwa MIGA baada ya kudai haki zake za madini. Kilichompata ni kufungwa jela kwa miezi 11 hadi sasa na Tanzania hakushitakiwa MIGA...
  2. Etwege

    Ziara za Rais Samia kuelekea Ulaya 2025- 2026

    Rais Samia na mwanao andaeni mlio Rais Samia na mwanao Abdul andaeni mlio mtakaokuwa mkilia pale muda wa kukandwa kwenu utakapofika kwa madudu mnayoyafanya mkiwa Ikulu. 1. Kisiasa Kisiasa Rais Samia hukubaliki ndani ya CCM na nje CCM mbaya zaidi haukubaliki pia ndani ya nchi na nje ya nchi...
  3. Etwege

    Mwafrika anatakiwa kumshukuru sana mzungu ungekuta bado yuko pangoni, msituni na sokwe huko

    Una ushamba mwingi sana na haujasoma historia ya mtu mweusi vizuri.
  4. Etwege

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Kwa kuwa wewe ni mwana taarabu unafikiri kila mtu yuko kama wewe?
Back
Top Bottom