Recent content by Essero Charles

  1. E

    Nikajiuliza, Waziri alifuata nini Ikulu?

    Sumaye alikuwa Waziri mkuu na alikuwa kiongozi wa shughuli zote za serikali bungeni sheria zote anazifahamu na pia ni tajiri kama ulivyosema wewe mtoa Mada ameshindwa nini kuliendeleza shamba hilo wakati akijua sheria iko wazi na akapewa hadi notisi ili aliendeleze shamba hilo lakini...
  2. E

    Bunge lapitisha Muswada wa sheria ya huduma za habari, 2016 (the media services bill, 2016)

    waokota habari ovyo ovyo na kuzikimbiza vyombo vyao vya habari ole wao
  3. E

    Itakuwa vipi ikitokea kikajengwa hata kiwanda kimoja?

    Wewe yaonekana hata ulipojitambua baada ya kuzaliwa ulimkatalia Mama yako alipokwambia wewe ni mwanae na tena yaonekana hata jinsia yako pia labda uliikana ukasema u jinsia tofauti na uliyonayo make wewe ni mtu ambaye uko tayari kuubishia ukweli na unaye aminishwa kwa uongo WAKE UP Sent from...
  4. E

    Itakuwa vipi ikitokea kikajengwa hata kiwanda kimoja?

    Duh ndugu yangu wewe ndiye hujui hata nchi yako inaendaje. Ngoja nikusaidie tu RAIS WA TANZANIA ANAYO NDEGE YAKE SPECIAL NA UJUE TU KUWA NDEGE HIYO ILINUNULIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TATU YA RAIS MSTAAFU MKAPA. Na Rais hatumii ndege ya abiria katika safari zake amka ndugu Sent from my TECNO...
  5. E

    Itakuwa vipi ikitokea kikajengwa hata kiwanda kimoja?

    Mmeona huku kwenye mitandao ya kijamii ndo pa kusemea maneno haya ya kejeli! Hivi ni wapi ambapo unaweza kujenga viwanda kwa kipindi ambacho Rais Dr Magufuli alipoingia madarakani? Kila kitu kinaenda kwa utaratibu mpo kwa ajili ya kuangalia negativity things tu positive things hamtaki...
  6. E

    Kweli hizi ni zama za mwendokasi

    Kwani umesahau mkuu wa mkoa ndiye mkuu wa ulinzi na usalama mkoa changamka ndugu yangu
  7. E

    Uanzishaji wa kiwanda cha Tomato Source

    Mrlsidori hivi umepata jipya lolote kuhusu mashine ya tomato sauce toka SIDO?
  8. E

    Uanzishaji wa kiwanda cha Tomato Source

    Nilihitají Pritty unijibu kuhusu mashine toka SIDO mbona kimya
  9. E

    Alichosema Tundu Lissu baada ya Lowassa kukutana na Rais Magufuli

    Aaa Tundu ama kweli unatafuta kiki
  10. E

    KUTOKA VIKINDU: Polisi wapambana na majambazi, askari mmoja adaiwa kuuawa

    Muwe makini na kauli zenu msije kuta una maliza ku-send post yako tu defender iko getini inakusubiri ukatoe maelezo
  11. E

    Uanzishaji wa kiwanda cha Tomato Source

    Pritty hata mimi natamani kuanzisha hicho kiwanda kidogo cha Tomato sauce cause tayari nina greenhouse ila soko bovu sana una hakika na mashine hiyo ya kusagia nyanya huko SIDO au unao mwanga kidogo wa bei yake ebu niondolee tongotongo basi
Back
Top Bottom