Recent content by espy

  1. E

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    The internet is the greatest tool democracy ever invented. You can not keep information under wraps anymore, because technology is impossible to control. By Tucker Carlson Cancelled on FOX NEWS, available on YOUTUBE
  2. E

    Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Si alimjibu akiwa kasimama barabarani, sasa imekuaje tena, kina kirefu zaidi ?
  3. E

    Gerson Msigwa: Serikali inajua kila kitu kinachoendelea. Yoyote anayefanya makosa anaweza kufikiwa

    The internet is the greatest tool democracy ever invented. You can not keep information under wraps anymore, because cyberspace is impossible to control. Military invoices instructing treasury to pay out billions of taxpayers money to arms dealer blacklisted by previous administration are...
  4. E

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Na wilayani pia inategemea uko kitengo gani Kuna manguli wilaya za mijini kukupimia kiwanja na kukutolea hati wanataka milioni 3, hapunguzi hata jelo kwa saab wateja anao na ndo bei ya soko... . ukisema uenda mwenyewe fronti unakaa miaka mitatu... yeye anakuahidi wiki.... unadhani anapata...
  5. E

    Daniel Anthony maarufu kama “Jay Boogie” mtetezi wa LGBTQI barani Afrika

    Hii itakuwa taarifa ya msemaji wa serikali kututoa kwenye reli Ameibua mijadala mikubwa, ameiubua wapi ??? Mbona hatuwajui hao ma gei? Ma celebrity na mapunga ya Nigeria sio maarufu kila nchi, nendeni mkajadilianeni nayo huko huko mnakowatafutaga Gei liko Nigeria, hatulijui, hatujawahi...
  6. E

    Kinachofanywa na maaskofu na watumishi wa Mungu sio siasa

    EVIDENCE IKO YOU TUBE. Mkutano wa CCM alishika maiki akasema. MIMI SIO MJUMBE LAKINI KAMA TUNAMALIZA TUNAMALIZA TU, LEO LEO. Mzee yule kaingia NEC mwaka wa 1982. Kwa mujibu wa yeye mwenyewe kwenye msiba wa Msuya. Ndo vile ambavyo vikao vya CCM vinaendeshwa ? Tunamjadili Juma. Na Juma ndo...
  7. E

    Picha: Rais Benjamin Mkapa akiingia Mahakamani kutoa Ushahidi kwenye kesi ya Ufisadi iliyowakabili Costa Mahalu na Grace Martin

    Hana umwamba wowote Mkapa. Eti shahidi wa utetezi kahojiwa na wakili wa Mahalu. Direct exam. Hakuna Cross Exam. Ushaona wapi duniani? Mkapa alikuwa anaishi New York, Columbia University, kabla mimi sijazaliwa. Kwa nini hawaku observe mambo yanavyokwenda wayalete Africa waimarishe utawala wa...
  8. E

    GE2025 Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth Singh katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Uchaguzi Mkuu 2025

    Hivi Ulaya unaweza kukiri makosa, ukamalizana na DPP ? Yani Magufuli, the best ever, the most serious tough-on-crime leader we have ever had na yeye anaamini jambazi kaa nae chini myamalize. Na akatamka "ni bora tuwatoe jela, watafute pesa, mabiashara yaendelee, tupate na kodi." Wakikaa...
  9. E

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Wasifu hauna legislative achievements. Vimesheheni vituko vya ku punish wabunge waliovaa vimini, kulinda COVID 19 wa CHADEMA, na kamfungia Jerry Muro na Gwajima. Ndivyo ambavyo vimewajia vichwani waandishi wakimkumbuka Ndugai. Viongozi hawatengenezi legacy za profession zao. Bungeni miaka...
  10. E

    GE2025 CCM yaitwa Mahakamani August 5, kuhusiana na mgombea Urais kuvunja Katiba

    Exactly! Alivyopewa mic akasema jamani mimi sio mjumbe. Umesema mwenyewe! Huna kura kikaoni. Unawezaje kupendekeza nani apigiwe kura ? Wewe huruhusiwi kunyosha kidole wakinyoosha wanaomtaka Juma. Sasa unawezaje kusema mchagueni Juma ?????? Non-voting member wa kikao, inapofika agenda ya...
  11. E

    GE2025 CCM yaitwa Mahakamani August 5, kuhusiana na mgombea Urais kuvunja Katiba

    We don't care kama kesi ya ngedere kapewa primate mwenzie. Nataka kuona ukora wa Kikwete unajadiliwa mahakamani. Hivyo tu. Kikwete aone aibu kwamba Mwenyekiti na kada aliyekuwemo NEC na Central Committe toka 1982 huko, umeshindwa kubuni wizi mlaini usiosababisha makesi na ma controversy. Kama...
  12. E

    Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

    Hajasema sheria za chama zifuatwe, kasema desturi za chama. Yeye haamini katika sheria za chama (KATIBA). Ndo maana kasema kidesturi kuna watu hawaruhusi na CCM kupanda kuwa Rais, yani Spika, PM, na VP. Lakini katiba ya CCM inasema mwanachama yeyote anaweza kugombea chochote. Balozi...
  13. E

    PreGE2025 Kwa mujibu wa taarifa alizopewa Maria Sarungi, ni kwamba watekaji wanamuwinda Askofu Gwajima

    JAMIIFORUMS ADMINS Tafadhali ondoeni prefix ya GE 2025 (UCHAGUZI) kwenye kila mada muhimu, hususan za. utekaji na mauaji. Sio kila kitu kinahusiana na mwaka wa uchaguzi. Mnalifanya kama ni tatizo dogo la mpito. Crisis ya utekaji na mauaji ipo miaka mingi, lakini ilishamiri awamu ya tano...
  14. E

    PreGE2025 Ukiachana na Musukuma, hawa ndio wabunge wengine 12 ambao wameishia darasa la 7. Mbunge wako yupo?

    Hapo bado Waliofeli Form 2 Waliofeli Form 4 Waliofeli Form 6 Na waliopata degree wakiwa full time Waziri tena wizara nyeti ya Fedha. Hiyo degree umeisoma, umenunua ?????
  15. E

    PreGE2025 Tulia Ackson awaruka wabunge, asema baadhi ya kauli zilizotolewa kwenye Mjadala wa Wizara ya Mambo ya Ndani si msimamo wa Bunge

    Sio alionekana anatabasamu... Alikuwa anatoa comment kabisa wakimaliza kutema nyongo , anasema hiyo imekaa vizuri, ni jambo la msingi... Si ni kale ka dada ka Kipemba sijui Kaarabu,, ka naibu spika type.... Zungu yeye alikuwa anawaongezea muda huku analeta utani wa Simba na Yanga kwamba Simba...
Back
Top Bottom